Author: Geofrey Stephen

:Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk.Philip Mpango, ametoa maagizo kwa Wizara nne ikiwemo Wizara ya Uchukuzi kupitia wakuu wa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Uongozi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia), kukaa na kufanya Tathimini ili kuona uwezekano wa kuongeza siku 90 kwa wananchi 1,712 waliovamia eneo la uwanja huo wa ndege. Hai.Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk.Philip Mpango, ametoa maagizo kwa Wizara nne ikiwemo Wizara ya Uchukuzi kupitia wakuu wa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Uongozi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia), kukaa na kufanya Tathimini ili kuona uwezekano wa kuongeza siku 90…

Read More

Na Mosses Mashala . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inapenda kuzialika kampuni zote za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi kushiriki katika Duru ya kwanza . Rais Dk.Mwinyi amewakikishia wawekezaji wote wa sekta ya mafuta na gesi kuwa Serikali iko tayari kuwahikikishia mazingira mazuri ya uwekezaji kwa manufaa ya wote. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipozindua Duru ya kwanza ya Utoaji wa vitalu kwa Kampuni za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia maeneo ya baharini Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, uwanja wa ndege tarehe: 20 Machi…

Read More

Dah!, mke wa Bosi kanipa asali ya mume wake! Unajua huku duniani kuna matukio ya ajabu sana, unaweza kushangaa na kujiuliza yote haya yanafanyika kwa sababu gani, kwa faida ya nani, na huyu mtu anayefanyiwa hivyo ananufaika na kipi hasa sasa na hapo baadaye. Jina langu ni Badru naishi Nairobi, Kenya ila nyumbani kwa wazazi wangu ni Lamu, mwaka 2021 nilikuja Nairobi kutafuta kazi yoyote ya kufanya maana nilikuwa sijasoma na sina ujuzi wowote ule maishani. Nilifikia kwa rafiki yangu ambaye miaka ya nyuma tulisoma wote shule ya upili, nilikaa kwake kwa muda wa miezi mitatu hadi nilipopata kazi…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Arusha Jeshi la polisi wilaya ya Karatu Mkoani Arusha limeingia kwenye msuguani mkali na familia ya marehemu Omari Msamo, aliyekuwa dereva wa magari ya watalii( derevaTours),aliyefariki katika mazingira ya utata,akidaiwa kuuawa kwa kipigo na askari hao baada ya kusimamishwa kwenye kizuizi. Tukio hilo limetokea Machi 16 mwaka huu katika eneo la Manyara Kibaoni wilayani Karatu,baada ya marehemu kusimamishwa na askari waliokuwa kwenye kituo cha ukaguzi . Kwa mujibu wa msemeji wa famili ya marehemu,Fredy Asey alisema kuwa walishtushwa na kifo cha ndugu yao kwani hakua na ugonjwa wa aina yoyote na kuamua kufuatilia katika hospitali ya…

Read More

Jina langu ni Salum kutokea Bongoma nchini Kenya, miaka kama mitatu iliyopita niliajiriwa katika kiwanda kimoja cha kuzalisha saruji, kazi hii ilikuwa ni ngumu sana kiasi kwamba kila mara vijana wengi walikuwa wakiacha kazi. Hata hivyo, mimi nilivumilia kutokana nilikuwa na shida sana na fedha, maisha yangu yalikuwa ni magumu sana na familia ilikuwa inanitegemea sana kiasi kwamba sikuwa namna yoyote zaidi ya kufanya kazi hiyo. Baada ya kumaliza mwezi wa kwanza kazini nilishangaa napewa malipo nusu, nilipoulizwa nikaambiwa kuwa malipo mengine nitamaliziwa mwezi unaofuata, hivyoo nisiwe na wasi wasi bali niendelee kufanya kazi. Hata hivyo, mwezi uliofuata sikulipwa kabisa,…

Read More

Na Mosses Mashala . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole Ikulu Mnazi Mmoja kutoka kwa Luteni Jenerali Mstaafu Samuel Ndomba ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mzinga kwa niaba ya uongozi wa shirika hilo,   kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi . Rais Dk.Mwinyi ameshukuru uongozi wa shirika hilo kwa kuja kumfariji. Mwisho .

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Waziri Wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera ,Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama ametoa wito kwa Baraza la Wafanyakazi. wa Ofisi hiyo,kupitia taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2023/24 na makadirio ya bajeti ya mwaka 2024/25. kwa umakini ili kuona yale yaliyotekelezwa kwa mwaka uliopita wa fedha na kuongeza ubunifu utakaowezesha rasilimali kidogo zilizotengwa kuleta matokeo makubwa zaidi kwa mwaka ujao wa fedha. Amesema kwa kufanya hivyo wataisaidia Ofisi hiyo  kufikia malengo na watamwezesha kila mtumishi kuwajibika ipasavyo na kwa weledi ili kupata mafanikio ya pamoja. Mhagama ametoa kauli hiyo Machi 18, 2024 jijini Dodoma…

Read More