Na Mwandishi wa A24tv Siha Wananchi wa Siha mkoani Kilimanjaro Wamesema wana kila sababu ya kumpongeza mbunge wa Jimbo hilo Goodwin Mollel kwa kutatua changamoto mbalimbali za Wananchi ikiwa ni pamoja na kutoa fedha kwa wagonjwa wanaozuiliwa Hospitali kwa kushindwa kulipa gharama za matibabu wanazodaiwa. Mbunge wa Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro akisalimiana na Wakazi wa Sanya juu Wilayani humo Haya yamejiri akiwa viwanja vya Rex Sanya juu, wakati wa ziara yake kuongea na wananchi na pia kusikiliza kero zao zinazowakabili ili kuzipatia ufumbuzi Wakizungumzia wakiwa katika viwanja hivyo wamempa kongole mbunge huyo kwa mchango wake wa hali na mali…
Author: Geofrey Stephen
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amemtembelea na kumjulia hali aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Bi Asha Simba Makwiga aliyelazwa Hospitali ya Mnazi Mmoja akiendelea kutibiwa tarehe :18 Machi 2024 Mwisho.
Jina langu Selemani mkazi wa Mombasa, Kenya, nilikuwa nafanya kazi ya ulinzi nyumbani kwa Bosi wangu, nilifanya kazi hiyo kwa miaka zaidi ya 15 na niliipenda sana lakini mkasa niliyokuja kukutana nao ndio ulinifanya kuachana na kazi hiyo licha ya kumshinda Mahakamani. Kamwe siwezi kusahua tukio la kusingiziwa wizi na Bosi wangu kitu kilichopelekea kusota Mahakamani kwa miaka mingi hadi pale ambapo Jaji alisoma hukumu na kuonekana sina hatia. Hivyo nikawa nimeshinda kesi hiyo ingawa kila mtu alijua ningefungwa kutokana aliyenishtaki alikuwa mwenye uwezo mkubwa kifedha. Nakumbuka usiku mmoja nikiwa katika lango la Bosi wangu nilisikia harufu ambayo sikuweza kubaini…
Karibu Arusha 24tv leo juma tatu March 18 kutazama kilicho Andikwa katka Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Na Mosses Mashala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole Ikulu Migombani kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wamasai waishio Zanzibar (ERETO), Ndg. Thomas Makau Lepachu na ujumbe wake kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi aliyefariki dunia tarehe: 29 Februari 2024, Dar es Salaam na kuzikwa tarehe: 02 Machi 2024, Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja . Jumuiya hiyo wamemkabidhi Mbuzi na Kondoo ikiwa ni sehemu ya rambirambi yao kwa utamaduni wao. Mwisho .
Jumapili ya tarehe 17 karibu kutazama kikicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho .
Na Mosses Mashala . Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole Ikulu Mnazi Mmoja kutoka kwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa upande wa Zanzibar wakiongozwa na Mohamed Aboud Mohamed , Leyla Burhan Ngozi na Muhandisi Nasri Ally kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi, Mwenyekiti wa CCM Taifa Mstaafu, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi aliyefariki dunia tarehe: 29 Februari 2024, Dar es Salaam na kuzikwa tarehe: 02 Machi 2024, Mangapwani, Mkoa wa…
Na Mosses Mashala . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imefanikiwa sana kuongeza ukaribu na wananchi kwa kusikiliza changamoto na kuzitatua kwa haraka kupitia Mfumo wa Sema na Rais Mwinyi (SNR). Rais Dk.Mwinyi amesema Mfumo wa SNR ni kiungo muhimu kati ya Serikali na wananchi pia ni kigezo cha utawala bora unaozingatia ushirikishwaji wa wananchi. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo katika hafla ya Maadhimisho ya Miaka 3 ya Mfumo wa Sema na Rais Mwinyi(SNR) tarehe: 16 Machi 2024 katika Viwanja vya Ikulu Mnazi Mmoja. Aidha, Rais Dk.Mwinyi ameeleza kuwa kitengo cha SNR kina…
Naitwa Dina kutokea Nairobi, Kenya, naweza kusema katika maisha kila jambo huwa na wakati wake, huwezi kulazimisha mambo kutokea wakati muda wake bado hajafika, ni kama kifaranga cha kuku, ukipasua yai kabla ya muda wake huwezi kupata kifaranga. Ndivyo ilivyokuwa katika maisha yangu na yale niliyopitia katika ndoa zangu tatu za mwamzo, kila mwanaume ambaye alinioa alitaka nimzalie mtoto na alipoona muda unaenda bila kushika ujauzito alifunikuza. Hakuna ubishi ni kwamba walishindwa kujua ni muda wangu wa kuzaa mtoto haujafika, nilikuwa najipa moyo kuwa kuna muda wangu utafika lakini kuna muda nilikaa na kuwa na mawazo sana hasa nilipoachana na…
Juma mosi ya leo March 16 karibu kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24Tv. Mwisho .