Author: Geofrey Stephen

Jumuhiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Wilayani ya Siha mkoani Kilimanjaro,wachagua wajumbe kata ya Ormelili na Songu Jumuhiya ya maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro,imewatambulisha wajumbe wa kamati hiyo kwa Viongozi wa kata ya Ormelili na Songu Wilayani humo na kupewa majukumu. wanayotakiwa kusimamia ikiwa ni pamoja kutunza amani na kuibua maovu kwenye jamii viongozi wa kata hizo wakisema kwamba wajumbe hao wamekuja wakati muafaka na kwamba itasaidia kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya unyanyasaji kijinsia ikiwamo ubakaji na ulawiti na mimba kwa wanafunzi Mbali na hilo pia itasaidia kuwadhibiti wauza madawa ya kulevya ikiwamo…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na serikali za Mitaa TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametangaza kuwa jumla ya Vijiji 12, 333, mitaa 4,269 na Vitongoji 64, 274 vitashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Akizungumza Jijini Arusha mapema  leo Jumatatu Septemba 16, 2024 kwenye Ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Waziri  Mchengerwa amewaambia wanahabari kuwa kwenye orodha hiyo kumejumuishwa maeneo yaliyokuwa yamefutwa awali kwa mujibu wa tangazo la serikali ambayo pia yalihusisha Tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha. “Matangazo haya yanajumuisha maeneo yaliyokuwa…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Asasi zisizo za kiraia nchini zimetakiwa kuangalia namna ambavyo wataweza kujitegemea katika kuendesha shughuli mbalimbali za kijamii sambamba na kuendelea kujenga uelewa wa kutosha katika kuchochea uboreshaji katika shughuli za kijamii. Hayo yamesemwa  mkoani Arusha na Mwenyekiti wa bodi ya AZAKI ,Mercy Silla wakati akifunga wiki ya AZAKI iliyokuwa ikiendelea  kwa muda wa wiki moja mkoani Arusha. Silla amesema kuwa, kukutanisha asasi hizo wiki nzima wameweza kujadili maswali mbalimbali ya kuboresha katika utendaji kazi sambamba na kujifunza zaidi kutoka kwa wenzao wa nje ya nchi. Amefafanua kuwa,ni wajibu wao kuhakikisha wanakuwa mstari wa mbele ili…

Read More

Na Mosses Mashala. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendeleza juhudi za kuimarisha Michezo kwa lengo la kuinua vipaji vya vijana. Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 14 Sept 2024 katika Uwanja wa Gombani Mkoa wa Kusini Pemba baada ya kushuhudia Fainali ya Michuano ya Yamle Yamle kati ya timu ya Ponchinki City na Wete City. Aidha Rais Dk.Mwinyi amelitaka Shirika la Utangazaji Zanzibar ZBC kuendelea kuimarisha Michuano hiyo ambayo sasa imekuwa na sura ya kitaifa na kuunga Mkono kila Mwaka. Katika Mchezo huo wa Fainali timu ya Ponchink City imeibuka na…

Read More

Na Prisca Libaga Arusha Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa niaba ya Kamishna Jenerali tarehe 13.09.2024 imeteketeza kwa mujibu wa sheria vielelezo vya dawa za kulevya aina ya mirungi kilogramu 23.74 zilizokamatwa katika operesheni zilizotekelezwa hivi karibuni. Uteketezaji wa vielelezo hivyo ulifanyika katika dampo la Murieti jijini Arusha. Zoezi hilo limeshuhudiwa na wawakilishi kutoka Mahakama ya Wilaya Arusha, Ofisi ya Mwendesha Mashitaka Arusha, Ofisi ya Mkemia Mkuu Arusha kulingana na Matakwa ya Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Mwisho.

Read More

Na. Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo, leo Septemba 13, 2024 wamechangia damu kwa wagonjwa wenye uhitaji na kufanya mazoezi ya kutembea katika Jiji la Arusha. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Debora Lukololo amesema Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limetumia maadhimisho hayo kuwakumbuka wagonjwa kwa kuchangia damu kwa wale wenye uhitaji lakini pia kufanya matembezi ya hiari kwa kushirikiana na Wananchi kwa lengo la kufikisha ujumbe kuhusiana na masuala ya uhalifu. ACP Lukololo ameendelea kufafanua kuwa…

Read More

Bahati Siha, Mahakamani ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro September 12 mwaka huu,imemuhukumu kwenda jela Mkazi wa Majengo SanyaJuu Wilayani humo,Issa Chando( Meleki) (53),mkulima kutumikia kifungo cha Maisha kwa kosa la kubaka watoto wa miaka (6) wakazi wa Majengo Mwendesha mashitaka wa Serikali Kurwa Mungo mbele ya Hakimu Mkazi mfawidhi wa Mahakama hiyo Jasmine Abdul amesema tukio hilo lilitokea January mwaka huu kwa nyakati tofauti likifanyika nyumba kwa mshitakiwa “Ni kweli alikuwa akiwaingiza kwa wakati mmoja kwenye nyumba yake nakuwafanyia ukatili huo uku alifahamu kufanya hivyo ni kosa”amesema Kurwa Akielezea kwa undani kuhusu tukio hilo amesema siku moja wakati mzazi…

Read More