Author: Geofrey Stephen

NA; MWANDISHI WETU – DODOMA Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama amekabidhi vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni Mbili za kitanzania kwa watekelezaji wa Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) Mapema leo tarehe 12 Machi, 2024 katika viwanja vya Ofisi hizo zilizopo Mtumba Jijini Dodoma. Akikabidhi vifaa hivyo ambavyo ni Magari, pikipikiza miguu miwili na mitatu (guta) kwa wawakilishi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Wizara ya Kilimo, Wakala wa Mbegu (ASA), Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) na Taasisi za Udhibiti wa Ubora…

Read More

Mwandishi wetu,Arusha. Wakulima zaidi ya 300 kutoka mikoa ya Geita Iringa Mbeya Morogoro Mwanza Shinyanga na Tabora wamepatiwa elimu ya namna ya kuchagua mbegu bora zinazokinzana na athari za mabadiliko ya Tabianchi. Mafunzo hayo yametolewa na wataalamu wa sayansi ya mimea Toka kampuni ya Balton Tanzania inayoingiza na kusambaza mbegu Nchini Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Balton Tanzania Chris Keeping amewaambia wakulima hao kuwa kufahamu aina ya mbegu inayofaa kulima katika ukanda waliopo pamoja n kujifunza namna ya kudhibiti wadudu kuwasaidia kupata mazao mengi Kwa wakulima hao. Amesema kuwa kufanya kilimo chenye tija hususani kipindi hiki cha athari ya mabadiliko ya…

Read More

Walioniibia nyumbani wakutana na balaa zito By Ngilisho TV. aitwa Wilson kutoka Nairobi nchini Kenya, kuna siku nilirudi nyumbani na kukutaa nyumba yangu imevunjwa na kuibia sofa, kitanda, TV, redio, kompyuta na fedha Ksh20,000 nilizokuwa nimezihifadhi chini ya godoro la kitanda changu. Kusema kweli nilichanganyikiwa sana maana mali zangu nimezichuma kwa jasho jingi la kufanya kazi mtaani kwenye jua kali nikitembeza vitu kama mfanyabiashara mdogo. Kibaya zaidi fedha walizoiba ndio nilikuwa nimetoka kuzichukua benki ukiwa ni mkopo ambao nilitaka kuongeza mtaji katika biashara yangu ya kuuza vyombo vya matumizi ya majumbani. Jambo hilo lilinipa sana msongo wa mawazo, nilishinda ndani…

Read More

Na Mwandisho Wetu Sakata la mgogoro wa eneo wa mfanyabiashara maarufu Mkoani Dar es salaam Valence matunda limeingia sura mpya baada ya kamishna wa ardhi Dar kutuhumiwa kuhusika kubadilisha hati kinyume na utaratibu. Akiongea na vyombo vya habari mfanyabiashara huyo amesema Kamishna huyo anadaiwa kukaidi maagizo ya mahakama baada ya kupewa hati ya zuio kutoka mahakamani ya kutokufanya chochote katika january Mwaka 2024 lakini yeye February 21 anadaiwa kubadilisha majina ya hati licha ya kuwa na zuio hilo (CAVIET). Pamoja na hayo ametuhumiwa kutoa notisi of deposit kwa maana ya dhamana iliyowekwa kwenye hatu kwa mtu mwingine wakati hati halisi…

Read More

Na Mosses Mashala . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewashukuru kwa niaba ya familia Waumini wa Dini ya Kiislamu sehemu mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar walioandaa Dua na Khitma ya kumwombea Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo katika Khitma na Dua Maalum ya kumwombea Baba yake mzazi , Rais Mstaafu wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi iliyoandaliwa na Chama cha Mapinduzi Zanzibar katika Masjid Mushawar Mwembe Shauri Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja tarehe: 11 Machi 2024. Aidha Rais Dk.Mwinyi pia…

Read More

Dubai- March 11 Reflecting the spirit of togetherness and generosity during the Holy Month of Ramadhan, Emirates will be serving thousands of meal boxes for passengers who are fasting both onboard and at boarding gates, screening an array of religious content and popular TV shows on the entertainment service on board, and serving specialized Ramadhan dishes in the lounges. At the Emirates lounges in Dubai International Airport (DXB), Arabic sweets, dates and coffee will be offered during Ramadhan. Meals available in First and Business Class lounges will include a selection of hot and cold Arabic mezze, lentil soup, main courses…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Serikali Wilayani Siha mkoani Kilimanjarowa imewakumbusha wazazi/walezi Wilayani humo kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kikamilifu katika malezi ya Watoto na kuwalinda dhidi ya vitendo vya kikatili ikiwamo ubakaji na ulawiti pamoja na ndoa za utotoni vinavyoendelea katika jamii. Hayo yamejiri wakati wa maazimisho siku ya wanawake Duniani ambapo kiwilaya yamefanyika katika ukumbi wa RC Sanya juu Wilayani humo na kuhudhuria na viongozi mbali mbali wa Serikali ,madiwani ,wadau wakupinga vitendo vya ukatili , Tasisi mbali mbali za Kibank ikiwamo Uchumi Bank Mkuu wa Wilaya hiyo Christopher Christopher Timbuka akizungumza katika maazimisho hayo ,amesema ni wajibu wa wazazi…

Read More

Nilikuja Nairobi nikiwa mlala hoi ila sasa ni tajiri mkubwa Kila mfanyabiashara kiu yake ni kuona anafanikiwa katika biashara yake, kufanikiwa kibishara ni kuimarika ua kuongezeka kwa mauzo na kuleta faida tena ile kubwa, hii ndio maana halisi ya kufanikiwa kibiashara. Jina langu ni Ricardo kutokea Nairobi, jiji ambalo limechangamka zaidi kibiashara hapa nchini Kenya, jiji ambalo vijana wengi wanapenda kuja kuishi na kutafuta fursa za kazi, ajira pamoja na masomo. Nilikuja Nairobi miaka 11 iliyopita nikitokea Kisumu, lengo langu tangu mwanzo lilikuwa ni kuja kufanya biashara lakini sikuwa na fedha hivyo ikanibidi nianze kufanya kazi ili kuweza kupata huo…

Read More