Author: Geofrey Stephen

Na Mosses Mashala . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Naibu Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu, Nadal Al-Nashif na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe: 9 Machi 2024. Aidha Rais Dk.Mwinyi amesema Zanzibar kuimairisha ushirikiano katika kujenga uwezo Taasisi za kisheria hususani utekelezaji wa sheria, Mahakama na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka . Naye Naibu Kamishna Nadal Al-Nashif amesema wataisaidia Zanzibar katika kuwajengea uwezo hususani Taasisi za kisheria. Vilevile katika mazungumzo yao wamezungumzia nafasi ya Vyombo vya habari, huduma za maendeleo ya kijamii, utalii, Serikali ya Umoja wa Kitaifa, na uwezeshaji wa Wanawake…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Diwani wa Kata ya Mjini Kati jijini  Arusha, Abdu Tojo amejitolea msaada wa Mashuka 60 kwa ajili ya kukisaidia kituo cha Afya cha daraja mbili,baada ya kubaini uwepo wa uhitaji  na kuwaomba wadau wengine wa Afya kujitokeza kusaidia maeneo yenye uhitaji.   Tojo ambaye amekuwa mdau mkubwa wa kusaidia sekta ya afya,mwishoni mwa mwaka jana alisaidia mashuka na blanketi katika kituo cha Afya Kaloleni baada ya kupokea uhitaji , ambayo yalisaidia akina mama wanaojifungua kuwasitiri na baridi kali. Akiongea mara baada ya kukabidhi msaada huo,kwa mganga mfawidhi wa kituo hicho, Luciana Kazimoto, Tojo alisema…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Serikali imesema ipo tayari kushirikiana na wadau wowote wenye lengo la kusaidia katika utekelezaji wa mageuzi ya Sekta ya elimu hasa katika suala la utoaji wa mafunzo ya Amali Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo Machi 8, 2024 Jijini Dar es Salaam wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na wajumbe wa Kampuni ya Kimataifa ya Miradi ya Uhandisi ya AVIC kutoka China. Prof. Nombo amesema kuwa mageuzi ya sekta ya elimu yanaangalia zaidi katika kutoa ujuzi ili kuwawezesha wahitimu wa ngazi yeyote ya elimu waweze kujiajiri, kuajiriwa, na kufungua…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali na Mhasibu Mkuu wa Serikali aliowateua hivi karibuni iliyofanyika Viwanja vya Ikulu Mnazi Mmoja, Zanzibar tarehe: 8 Machi 2024. Walioapishwa kuwa Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu wakiwemo; 1. Ndugu. Ali Khamis Juma Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo 2. Khadija Khamis Rajab Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi 3. Dkt. Aboud Suleiman Jumbe Katibu Mkuu Wizara ya Utalii na mambo ya Kale. 4. Dkt. Mngereza…

Read More

Serikali Wilayani siha imewashukuru wadau mbali mbali wa elimu Wilayani humo kwa michango yao na kutoa hoja nzuri ya namna ya kuboresha elimu na kupambana na changamoto zilizopo ili elimu iweze kusongambele Wilayani humo Moja ya hoja ni iliyopendekezwa ni kuazishwa kwa mfuko wa kuchangia elimu kwa ajili ya kuwapo posho walimu wa kujitolea ,baada ya taarifa kwamba kuna upungufu wa walimu katika shule za Msingi na Sekondari Wilayani humo. Haya yamesemwa katika kilele cha hitimisho juma la Elimu katika ukumbi wa RC Sanya mbapo changamoto mbali mbali ziliziibuka moja wapo ni upungufu wa walimu ,utoro baadhi ya wanafunzi ,…

Read More

Jina langu ni Iddi kutokea Nairobi nchini Kenya, ni kijana wa miaka 30, nimeajiriwa serikalini na ninaishi na mchumba wangu tangu mwaka 2021, tunapendana sana na tuna malengo makubwa maishani mwetu huko mbeleni. Katika maisha yangu hakuna ugonjwa ambao umewahi kunitesa kama kaswende, niliumwa kiasi kwamba nikakata tamaa ya kuishi maishani mwangu, nilihisi kama ndio naenda kufa ila nashukuru nilikuja kupona Nakumbuka nilianza kuugua ugonjwa wa kaswende, binafsi hadi leo sijui ni wapi ule ugonjwa niliupata maana mpenzi wangu alienda kupima akaonekana ni mzima na mimi sikuwa na mwanamke mwingine nje ya uhusiano wetu. Cha ajabu sikuwahi kushiriki mapenzi…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv . Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amesema Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na Mitaala iliyoboreshwa itasaidia kuandaa wahitimu wenye sifa zinazohitajika katika soko la sasa la ajira ndani na nje ya nchi Prof Mkenda amesema hayo Machi 07, 2024 Jijini Dar es Salaam wakati akifungua Mkutano wa Viongozi wa Wizara na Wahariri wa Vyombo vya Habari wenye lengo la kuwajengea uelewa juu ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo 2023 pamoja na kupitishwa katkka Mitaala iliyoboreshwa ambayo imeanza kutekelezwa katika ngazi mbalimbali za…

Read More