Author: Geofrey Stephen

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa Mikocheni nyumbani kwa baba yake akiendelea kupokea mkono wa pole kutoka kwa Rais Mstaafu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia kifo cha Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kilichotokea jana tarehe: 29 Februari 2024. Mwisho .

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Mkuu wa Wilaya Siha mkoani Kilimanjaro Christopher Timbuka,amewapa kongole jumhiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT),Wilayani humo kwa kuweza kusaidia kutatua migogoro mbali mbali iliyopo kwenye jamii jambo ambalo linachangia kuleta maendeleao Haya yamesemwa wakati wa maazimisho ya siku ya Maridhiano ambapo kiwilaya imefanyika Hospitali ya Wilaya kwa kufanya usafi , kutembea wagonjwa na kuwalia hali sambamba na kuchangia damu sala. Akizungumza kwenye maadhimisho hayo, amesema Jumuhiya hiyo imesaidia kutatua migogo mbali mbali ikiwamo ya migogo ya Aridhi pamoja na kutoa ushauri “Ni kweli migogoro midogo midogo na mingine ya inayokuzwa inakuwa ni mingi lakini mnatusaidia…

Read More

Na Richard Mrusha Katavi Imeelezwa kuwa Hifadhi zilizopo kusini mwa Tanzania zinavivutio vingi lakini hazina umaarufu kama zingine Afisa Uhifadhi daraja la pili Beatrice Msuya Amesema hifadhi ya Taifa Katavi pamoja na kutokusikika masikioni mwa wengi imesheeni vivutioa lukuki . Hayo ameyasema Februari 28,2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali waliotembelea hifadhi hiyo Amesema vivutio hivyo kuwa ni makundi makubwa ya Simba, Tambo, Nyati, na wanyama wengine, mbali na wanyama hao kuna ziwa zuri na la kipekee ambalo limesheheni viboko Mamba na samaki aina ya Kambare, kamongo. ” hifadhi yetu inasifa ya kuwa na viboko wengi kuliko…

Read More

Na Mosses Mashala Zanzibar . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Makamu Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Askofu Dk.Philemon Mollel na ujumbe wake waliofika Ikulu Zanzibar kujitambulisha Ikulu Zanzibar tarehe: 28 Februari 2024. Aidha, Rais Dk.Mwinyi amesema Serikali inatambua mchango unaotolewa na Madhehebu ya Dini zote ikiwemo kuhubiri amani na utulivu katika kuleta umoja nchini. Kwa upande mwingine Rais Dk.Mwinyi amelipongeza Kanisa hilo kwa utayari wao wa kushirikiana na Serikali katika kutoa huduma za kijamii nchini ikiwemo afya na elimu. Naye Askofu Mollel amempongeza Rais Dk.Mwinyi kwa kuleta…

Read More

*UJUMBE WA TANZANIA WAJIFUNZA UTENGENEZAJI VIFAA VYA UONGEZAJI THAMANI VITO *Watembelea Kiwanda cha Mtanzania Aliyewekeza Nchini Thailand* *Bangkok* Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo mwishoni mwa wiki aliongoza Ujumbe wa Tanzania nchini Thailand kutembelea Kiwanda Earth Supply Co. Ltd kinachotengeneza Mashine zinazotumika katika shughuli za kukata, kutoboa na kunga’risha madini ya Vito. Ziara katika kiwanda hicho ililenga kujifunza kuhusu teknolojia mbalimbali za kisasa zinazotumika katika shughuli hizo ikikumbukwa kwamba, Thailand ni miongoni mwa nchi zilizoendelea katika shughuli za uongezaji thamani madini ya vito zikihusisha utengenezaji wa bidhaa za mapambo ya vito na usonara ya thamani kubwa. Katika ziara…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Tanzania ikiwa ni mmoja wa waanzilishi wa Shirika la Biashara Dumiani (WTO) inaunga mkono mfumo wa biashara unaotegemea sheria ambazo zinatoa ulinzi na fursa kwa Nchi wanachama wote haswa Nchi zinazoendelea katika kuhakikisha maendeleo endelevu duniani yanapatikana Vilevile, Tanzania inaunga mkono maboresho ya WTO yanayohakikisha maslahi ya usawa ya Wanachama na haswa kuunga mkono nchi zinazoendelea na nchi zisizo na bandari (LDCs) kufikia lengo pana la ushirikishwaji na kukuza maendeleo endelevu kama ilivyoainishwa katika Mkataba wa Marrakesh kuanzisha WTO Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah Februari 26, 2024…

Read More

Dubai – February 27 Emirates Flight Catering, one of the world’s largest catering operations, has fully acquired Emirates Bustanica, formerly called Emirates Crop One, and its consumer brand Bustanica, the world’s largest indoor vertical farm. This strategic move establishes Emirates Bustanica as a fully UAE-owned company, helping sustain the country’s vision of enhancing food and water security and its agricultural capabilities. The acquisition empowers Emirates Bustanica to leverage its local expertise and the latest tech know-how to meet the growing demands of the market. Emirates Flight Catering (EKFC) is one of the world’s largest catering operations. Offering airline, events and…

Read More