Na Mwandishi wa A24tv. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na Asasi ya Youth Hub Arusha tarehe 12.08.2024 imeadhimisha Siku ya Vijana Duniani kwa kutoa elimu kinga kwa vijana 63 katika Ukumbi wa MS Training Center for Development Cooperation uliopo Leganga wilayani Arumeru Mkoa wa Arusha. Kaulimbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka 2024 ni _”Vijana na Matumizi ya Fursa za Kidigitali kwa Maendeleo Endelevu”_. Ofisi ya Mamlaka Kanda ya Kaskazini pia ilitumia jukwaa hilo adhimu katika kuwahimiza vijana kutokujihusisha na matumizi au biashara haramu ya dawa za kulevya sababu vitendo hivyo…
Author: Geofrey Stephen
Karibu Arusha24tv leo tarehe 13 mwezi Agosti kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv Mwisho .
By A24 Tv Polisi Mkoani Mbeya wamemkamata Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA ( BAVICHA), John Pambalu muda mfupi baada ya wawili hao kuwasili Songwe Airport leo August 12,2024. Mbowe amekamatwa baada ya kutua Songwe Airport kwa lengo la kufika Jijini Mbeya ili kufuatilia hatima ya Viongozi waliokamatwa jana August 11,2024 katika Ofisi za CHADEMA Kanda ya Nyasa akiwemo Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara Tundu Lissu, Katibu Mkuu John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda Joseph Mbilinyi (SUGU). Lissu, Mnyika na Sugu waliwasili Mbeya jana ili kuungana na Vijana wa Chama hicho kupitia Baraza…
Nimemfumania mume wangu na rafiki yangu tena katika kitanda changu! Waswahili hawakukosea kusema kikulacho kiko nguoni mwako, nasema hivyo kutokana na tukio lilonikuta maisha mwangu, kamwe siwezi kusahau na itakuwa ni vigumu sana kwa mimi kuja kumwamini sana rafiki yangu tena wa kike. Jina langu ni Mama Sadiki, mwishoni mwa mwaka jana nilikutana na tukio moja kubwa la kushangaza maishani mwangu, nalo ni kumfumania mume wangu wa rafiki yangu wakifanya yao tena kwenye kitanda changu. Nasema ni tukio la kushangaza kwa sababu huyu rafiki yangu alikuwa ni mtu wangu wa karibu sana, kila wakati angekuja nyumbani kwangu na angemsalimia mume…
Na Bahati Siha Halmshauri ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro,imepewa kongole kwa kufanya vizuri katika vigezo vitatu Vigezo hivyo ni ujenzi wa Miradi mbali mbali ya maendeleao Kwa kufikia asilimia 95,uchumi wa halmshauri unaenda vizuri,na kigezo kingine ni kupata hati safi miaka mitatu mfululizo Ponceano Kilumbi kutoka ofisi ya katibu tawala wa mkoa huu ,akizungumza katika kikao cha Baraza la maalumu la mwaka kupitia shughuli zote za halmshauri katika kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024, katika ukumbi wa halmshauri hiyo,amesema halmshauri hiyo inafanya vizuri sana nakuonye wasirudi nyumba kuwaletea maendeleao Wananchi wa Siha “Ni kweli nasema Siha wanakwenda vizuri utokana…
Karibu Arusha24tv kutazama kilicho Andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ninA24tv . Mwisho
Unaweza kupata kazi kwa urahisi kupitia mtu huyu! Siku zote huwa nasema hakuna kitu ambacho kimekuwa kikiwasumbua vijana wengi kwa sasa kama kupata ajira, bila ajira ni vigumu kwa kijana kuweza kuendesha maisha yake na kuwa mtu mwenye mafanikio. Siku zoye imekuwa ikiaminika kuwa mtu aliyeenda shule kusoma hadi elimu ya juu amekuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kupata kazi, lakini kadiri miaka ambavyo imekuwa ikienda suala la ajira limekuwa changamoto kwa wasomi na wasio wasomi. Baada ya kuhitimu masomo yangu ya ufundi stadi nilikaa nyumbani miaka minne bila kufanikiwa kupata ajira licha kutuma maombi katika ofisi mbalimbali za kiserikali…
Mpenzi wangu kapewa ujauzito na mtu mwingine, bado nampenda sana! Jina langu ni Abeli, nakumbuka nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nilimpenda sana, nilimgharamikia kila kitu kwa lengo la kuja kumuoa hapo baadaye lakini akaja kunisaliti na mtu mwingine na kuniacha bila huruma, kamwe siwezi kusahau. Mpenzi wangu huyu, nakumbuka katika mahusiano yetu tulikuwa tunapigiana simu sana usiku na kuzungumza mipango yetu ya maisha na ndoa yetu itakavyokuwa. Hata hiyo, baada ya muda kila ambapo nilipokuwa napiga simu yake ilikuwa inatumika na muda mwingine alikuwa hapokei kabisa, hata hata baadaye alikuwa hanitafuti. Kila nilipomuuliza alikuwa anajibu kuwa ametingwa na kazi nyingi,…
Karibu Arusha24tv kutazama habari kubwa katika magazeti ya leo Agosti 10 kilicho andikwa mbele na nyuma Hii ni A23tv. Mwisho
Na Richard Mrusha WAKALA wa Uhifadhi wa Chakula Nchini (NFRA) ,umeanza kutumia mfumo wa kidijitali katika kupima mazao ya Nafaka ili kuleta tija kwa wakulima. AFISA Mtendaji Mkuu wa NFRI Dkt.Andrew Komba ameyasema hayo katika maonesho ya wakulima na wafugaji Wavuvi viwanja vya Nane nane Nzuguni jijini Dodoma yaliyoanza Agosti Mosi na kufikia kilele chake Agosti 8 mwaka huu. Amesema mizani hiyo inaonesha namna ambavyo mkulima atapata faida na uhakika wa mazao anayouza NFRA. “Wakulima wameipokea mizani hii vizuri wakiamini kwamba inawawezesha kupata kiwango sahihi wanachotuuzia na sisi kwetu inatupa kumbukumbu’ sahihi kwa sababu inaingiza taarifa katika mfumo ambao unatumika…