Na Grofrey Stephen Arusha . Kampuni bora ya Mawasiliano nchini Tigo imezindua kampeni ya hakuna matata kanda ya kaskazini ikiwa na lengo kubwa kwa matumizi ya watalii wanaofika kutembelea mbuga mbali mbali. Mapema leo jijini Arusha Akizindua kampeni hiyo Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini Henry Kinabo amesema wanashukuru kwa hatua nyingine kubwa na muhimu katika safari yao ya kuboresha huduma za mawasiliano na teknolojia kwa ajili ya sekta mbali mbali hapa nchini ikiwemo sekta ya utali. Mkutugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini Henry Kinabo Akiongea na Vyombo vya Habari juu ya kampeni hiyo Amesema Tunajivunia kuwa mbele ya vyombo…
Author: Geofrey Stephen
Na Bahati Siha, Wakulima wa mshamba ya Leon,Pongo na lairongo Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,wataanza kupewa elimu ya namna ya kukabiliana na Wanyama wanaoharibu mazao yao. Haya yamesemwa na Afisa maliasili Wilayani humo wakati wa Baraza la madiwani lililofanyoka katika ukumbi wa halmshauri hiyo ,ambapo Diwani wa kata ya Sanya juu Juma Jani alitaka kufahamu hatima ya wakulima baada ya mazao yao kuharibiwa Wanyama wakiwamo Tembo hasa kwenye mashamba ya Pongo na Leoni. Diwani huyo Akizungumza kwenye Baraza hilo,ametaka kufahamu hatua zinafanyika kumsaidia wakulima ambao mazao yao yameharibiwa na Wanyama yakiwamo mahindi , maharage na alizeti Jani amesema unakuta ya mwaka…
Na Bahati Siha ,Mwenyekiti wa halmshauri ya Siha mkoani Kilimanjaro Dancan Urasa amehudhunishwa na ukataji miti hovyo Wilayani humo jambo ambalo linakwenda kinyume na juhudi za Rais Samia Suluhuu Hassani la utunzaji wa mazingira Hivyo kumtaka Mkurungenzi mtendaji wa halmshauri Haji Mnasi kuwaagiza watendaji wa vijiji na kata wasimamie Sheria katika Maeneo yao ili mazingira yabaki salama. Akizungumza katika kikao cha kawaida cha Baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Halmshauri,amewataka Mkurungenzi kutoa maagizo kwa watendaji hao kusimamia zoezi hilo ili kunusuru Siha kuwa jangwa “Ni kweli nimetoa nimeagiza kupitia Kwa Mkurungenzi mtendaji wa halmshauri hii,kuwaagiza watendaji wa vijiji na…
Na Bahati .Hai Halmshauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro,imepewa kongole kwa matumizi ya mazuri ya fedha zilizotolewa na Serikali katika ujenzi wa Miradi mbali mbali ya maendeleao ikiwamo vyumba vya madarasa ,vituo vya Afya pamoja na barabara Haya yamesemwa na Gasp Ijiko kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa katika Baraza maalumu Kwa ajili ya kupitia shughuli zote za halmshauri katika kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024, Akizungumza katika Baraza hilo liliofanyika katika ukumbi wa halmshauri hiyo, amesema halmshauri hiyo ni miongoni mwa halmshauri zilifanya vizuri kwenye ujenzi wa miradi “Ni kweli mfano eneo la Elimu Msingi eneo la Sekondari…
Karibu kituo bora cha matangazo cha A24tv .kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Juma Tano ya tarehe 8 Mwezi wa 8 2024 . Na Geofrey Stephen Arusha Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Sendiga akizungumza wakati wa kufunga Maonesho ya NaneNane na sherehe za wakulima mwaka 2024 kwenye viwanja vya Nanenane Themi -Njiro mkoa wa Arusha mapema leo Agosti 08,2024. Kauli Mbiu: ” Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi” Katika Maonesho hayo Chuo Cha Uhasibu Arusha IAA imeibuka kidedea mara baada ya kupata kombe wakiwa washindi wa Pili katika kundi la Taasisi za Elimu na Mafunzo katika Maonesho ya NaneNane Kanda ya Kaskazini yaliyofungwa…
Karibu Arusha 24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo Agost 6 ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv.
Na Bahati Siha, Wananchi wenye hasira Kijijii cha Samaki Maini Kata ya Livishi Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wamemchoma moto kibaka anayekadiriwa kuwa na miaka (40)na kufariki Dunia Kwa tuhuma za wizi wa vitu mbali mbali ikiwamo kuku,Pikipiki na mizinga ya nyuki na kurudisha Kijiji hicho maendeleao nyuma. Mwenyekiti wa Kijijii hicho Solomoni Nkini ,kizungumza na waandishi wa habari walifika eneo la tukio,amesema wamekusudia kuanzisha ulinzi shirikishi kutokana na matukio hayo ya wizi yamethiri katika eneo hili “Ni kweli katika kata hii pamoja na Kijijii hiki matukio ni mengine ya wizi ,kuku,ng’ombe, Mizinga ya Nyuki,Pikipiki mpaka sasa zaidi ya pikipiki 25…
Na Richard Mrusha Dodoma WAKULIMA na wafugaji wameaswa kukata bima ya mazao na mifugo yao ili kujilinda dhidi ya majanga yanayoweza kujitokeza kwa mifugo kufa au mazao kukumbwa na ukame. Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la NIC kwenye maonesho ya wakulima na wafugaji (88) Afisa Bima wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Experius Nchanila amesema katika msimu huu wa maonesho hayo ,NIC wamekuja na bima mbalimbali ikiwemo bima mkakati za kilimo na ufugaji ambazo zinalenga kumkwamua mkulima dhidi ya majanga yanayoweza kuathiri mifugo au mazao yake. Amesema kwa mkulima kukata bima ya mazao na mifugo yake itamsaidia…
Mke wangu analia machozi ya furaha kisa chakula cha usiku Ukweli ni kwamba heshima ya kweli anayopewa mwanaume kutoka kwa mke wake ni pale ambapo anatimiza majukumu yake vizuri ya kuihudumia familia, na kubwa zaidi ni pale wakati wa kula chakula cha usiku, mume ahakikishe mke kala na kuridhika. Wakubwa tunaelewana vizuri katika jambo hilo nyeti zaidi, huo ni uwanja qq wa vita wa kujidai na kuonyesha uwezo wetu na kudhihirisha uanaume wetu. Niseme katika ndoa yangu kuna kipindi nilikubwa na tatizo la kiafya ambalo lilipelekea mimi kushindwa kumridhisha mke wangu hadi akafikia hatua ya kuanza kunidharau na kutamka wazi…