Author: Geofrey Stephen

Mwandishi wetu. Arusha. Taasisi ya Waandishi wa habari ya MAIPAC jana imezindua mradi wa utoaji elimu ya mpiga kura kwa mkoa Arusha na kuwataka vijana waliofikisha miaka 18 wenye sifa , kwenda kujiandikisha katika daftari la Kudumu la wapiga kura. Wakizungumza katika uzinduzi wa utoaji elimu ya mpiga kura, Mkurugenzi wa MAIPAC,Mussa Juma na Meneja miradi wa Taasisi hiyo,Andrea Ngobole katika kituo cha Radio Sunrise Fm Arusha,walitaka vijana kuanza kujiandaa sasa kujiandikisha katika daftari la Kudumu la wapiga kura. Juma alisema vijana wenye umri kuanzia miaka 18 wanasifa ya kujiandikisha katika daftari Hilo kama hawajapoteza sifa kwa mujibu wa sheria…

Read More

Na Richard Mrusha Dodoma MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imejipanga kutatua kero za kikodi kwa wananchi waliokutana na changamoto mbalimbali. Kamishna Mkuu wa TRA. Yusuph Juma Mwenda amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na wavuvi yanayoendelea Jijini Dodoma. Mwenda amesema, “ili eneo ni moja ya eneo ambalo tutachukua changamoto za kikodi za walipa kodi na kuzitafutia ufumbuzi wa haraka. “Kwa hiyo nitoe wito waje waonane na watu wetu waeleze wanachokihitaji wapate elimu,” amesema. Pia amesema TRA imejipanga kuhudumia walipa kodi kwa haraka , mwisho waweze kuchangia. Awali aliwataka watanzania waliofikia kiwango cha kulipa kodi…

Read More

Na Richard Mrusha Dodoma DODOMA: WAKULIMA nchini wameshauriwa kuitumia mbolea mpya aina ya UMKA ili kupata matokeo chanya katika kilimo. Meneja Masoko wa Kampuni ya Umka Afrika LTD inayojishughulisha na kuingiza mbolea nchini, Benjamin Laizer amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yajulikanayo kama 88 yanayoendelea Jijini Dodoma. Laizer amesema mkulima anapotumia mbolea hiyo hahitaji kuitumia nyingi kutokana na ubora wake. “Mkulima anapotumia mbolea hii, anatumia mbolea kidogo kwa faida kubwa kwenye uzalishaji kwa sababu mkulima lazima aone tija. ” Kwenye kile ambacho unakitumia huhitaji kutumia kikubwa sana, unatumia kidogo ili upate kingi. Hii ndio faida tuliyonayo kama…

Read More

Na Bahati Hai, Jamii imetakiwa kuwathamini watoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kuwapa mahitaji muhimu kama elimu,maladhi,chakula na mavazi ili waweze kutimiza ndoto zao. Haya yamesemwa leo na Ramadani Shabani katibu wa Simba Tawi Bomang’ombe Wilaya Hai mkoani Kilimanjaro,wakati wa maadhimisho ya siku ya Simba,ambapo waletembelea kituo cha watoto yatima Kao la Amani Bomang’ombe Wilayani hapa na kutoa msaada ikiwa pamoja na Mchele,sabuni pamoja na mafuta ya kupikia. Akizungumza Mara baada ya kukabidhi vitu hivyo,ameitaka jamii kuthamini watoto hao ili kuwapunguzia mawazo ya kuwafikiria wazaza wao ,hata vitabu vitakatifu Quran na Bibilia ina himiza jambo hilo “Ni…

Read More

Na Mosses Mashala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuiombea nchi dua na viongozi wake waendelee kudumisha amani, mshikamano utulivu kuelekea uchaguzi mkuu mwakani. Dkt.Mwinyi aliyasema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Ijumaa Msikiti wa Rahman Taveta, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 2 Agosti 2024. Aidha Rais Dkt.Mwinyi amesema hakuna maendeleo pasipokuwepo amani na utulivu. Mwisho .

Read More

Na Mwandishi wa A24tv . Mamlaka ya Kudhibiti na Kupam bana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini tarehe 31.07.2024 kwa kushirikiana na Taasisi ya Tanzania Ex-Prisoners Foundation (TePF) imetoa elimu kinga juu ya madhara ya tatizo la dawa za kulevya kwa vijana wa bodaboda, bajaji na machinga pamoja na wanafunzi kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ufundi (VETA), Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCu) na Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Mwenge (MWECAU) katika Ukumbi wa CCM Mkoa uliopo wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro. Aidha, kauli Mbiu ya Kongamano hilo ilikuwa ni “_Ujana Bila Uhalifu, Inawezekana_”. Mgeni rasmi wa kongamano hilo…

Read More

Na Richard Mrusha Dodoma Kampuni ya mawasiliano Tigo Tanzania yaja na kampeni ya sako kwa bako kanda ya kati Dodoma Tigo Tanzania inaendelea na kampeni ya sako kwa bako nchi nzima ambayo ina mda wa miezi miwili tangu ilivyoanzana sasaa ni kanda ya kati kwa maana ya Dodoma, Tabora,Iringa. Afisa mkuu wa Biashara kutoka kampuni ya mawasiliano Tigo Tanzania Isack NChunda amebainisha hayo leo Aug1,2024 mbele ya waandishi wa habari kwenye ofisi za Tigo kanda ya kati Dodoma Amesema tigo ni mtandao bora zaidi nchini Tanzania kwani umeendelea kufanya uwekezaji wa zaidi ya sh Tilion 1. Amesema tigo ni mtandao…

Read More