Author: Geofrey Stephen

Na Bahati Siha . Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro , Christopher Timbuka,amewataka wadau wa maendeleo Wilayani humo kuhudhuria kikao maalumu cha kamati ya maendeleao Wilaya (DCC)kwa ajili ya ukusanyaji wa maoni ya Dira ya Taifa ya maendeleao 2050 Kikao hicho kitakaoshirikisha wadau mbalimbali wa maendeleao wakiwamo taasisi za Dini ,vyama vya Siasa na wawakilishi wa makundi yote muhimu katika jamii pamoja na mtu mmja mmoja wanakaribishwa kitakachofanyika ukumbi wa halmshauri hiyo Haya yamesemwa leo na Mkuu wa Wilaya Christopher Timbuka, Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ,ambapo amesema lengo la mukusanyiko huu ni kupata maoni ya wadau…

Read More

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Ndugu Godfrey Eliakim Mnzava ameweka Jiwe la Msingi mradi wa uuzaji wa mafuta kituo cha Puma kata ya Oloirien mapema leo Julai 20, 2024. Mradi huo ambao umeanza kutoa huduma unategemea kugharimu kias8 cha shilingi milioni 590 mpaka kukamilika kwake. Akiwasilisha taarifa ya mradi huo, kwa niaba ya mmiliki wa Kituo hicho Yusuf Hure, amesema kuwa mradi huo licha ya kutoa huduma ya mafuta kwa jamii na kuwaingizai kipato umeweza kuajiri watu 27, kuchangia pato la halmashauri na Serikali kwa ujumla wake. Aidha, ameishukuru Serikalia ya awalu ya sita chini ya…

Read More

Na Geofrey Steven Serikali kupitia maafisa maendeleo ya jamii na biashara wametakiwa kuondoa vikwazo vya kibiashara vya kusafirisha mazao mikoani na nje ya nchi kwa vijana waliojitokeza kujiajiri kupitia shughuli za kilimo. Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava wakati alipotembelea na kukagua mradi wa uwezeshaji vijana Kiuchumi kupitia Kikundi cha Vijana cha Agri – Genius. Mradi huo wenye thamani ya shillings milioni 32 Uliowezeshwa kupitia mkopo uliotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Vijana, wanaojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji na mazao cha mbogamboga na matunda. “Nawaagiza Maafisa Maendeleo ya Jamii na…

Read More

Na John Mhala,Longido SERIKALI imepeleka zaidi ya shilingi Bilioni moja katika Kata mbili za Noondoto na Kimokouwa zilizopo Wilayani Longido Mkoani Arusha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa nane,maabara tatu za Sayansi,jengo la utawala na ujenzi wa vyoo vya walimu na wanafunzi kwa Kata hizo. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Madini na Mbunge wa Jimbo la Longido ,Dkt Steven Kiruswa katika Mkutano wa hadhara katika kata ya Noondoto katika ziara zake za kusikiliza kero za wananchi na kusema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameitendea haki Longido na wananchi wa jimbo hilo wamemshukuru sana kwa kiasi hicho cha fedha. Alisema…

Read More

Dubai -July 20 Emirates has unveiled the first cities on its network to be served with its newest Boeing 777 cabin interiors. The airline plans to introduce its refurbished B777s to Geneva, Tokyo Haneda and Brussels, offering customers more opportunities to experience the airline’s signature Premium Economy on this aircraft, and for the first time Emirates’ next generation Business Class seats, set in a new 1-2-1 configuration. Emirates flights on the refreshed Boeing 777 to Geneva, Tokyo Haneda and Brussels go on sale today and can be booked on emirates.com, the Emirates App or via travel agents. Deputy President…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Kanisa Katholiki kupitia Kituo cha Malezi ya watoto cha St. Mary’s Children’s, imefuraishwa na kwa kutekeleza miradi ya maendeleo inayotoa huduma kwa jamii chini huku Serikali ikithamini mchango wa kanisa hilo. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu, Godfrey Eliakimu Mnzava,  kabla ya kuweka Jiwe la Msingi kwenye Kituo hicho, kilichojengwa na Kanisa wenye thamani ya shilingi milioni 950, kilichopo kata ya Kikwe Halmashauri ya Meru wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha  leo Julai 19, 2024. Kiongozi huyo Amesema kuwa, licha ya Kanisa hilo kutoa huduma za kiroho kwa karne kadhaa sasa lakini limekwenda mbele…

Read More

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga akimkabidhi kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Nurdin Babu ambae pia ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mwenge wa uhuru tayari kwa kukimbizwa kwenye wilaya za Mkoa wa Arusha. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Nurdin Babu ambae pia ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mwenge wa uhuru Mhe. Emmanuela Kaganda tayari kukimbizwa kwenye miradi ya wilaya ya Arumeru ikiwa leo utakimbizwa katika halmashauri ya Meru na kumuulika miradi 9. Matukio katika picha yakionyesha Mwenge wa Uhuru tayari kuzungukia Miradi mbali mbali wiayani Arumeru…

Read More