Picha katika matukio mbali mbali ya kupokea mwenge wilayani Arumeru mkoani Arusha
Author: Geofrey Stephen
Karibu Arusha24tv leo July 19 kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Na Bahati Siha Timu 16 kushiriki West Champion ligi itayofanyika katika kata ya Indu kiwanja cha Matadi kilima hewa Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Erick Hadai,katibu wa Bodi ya wadhamini mashindano ya West champions ligi Akizungumza na Waandishi wa habari wakati wa utiaji saini wa mashindano hayo katika viwanja wa Matadi vya Matadi , mesema ligi hiyo uzinduzi wake utafanyika July 28 mwaka huu. “Ni kweli leo,tumekutana na bodi ya waandaaji ya mashindano hayo kwa ajili ya kusaini makubaliano ya lig hiyo,ambapo tumekubaliana lig hiyo kuanza 28 July hadi Semptemba mwaka huu “amesema Erick Amesema Timu 16 zitashiriki mashi hayo kati…
Na Richard Mrusha JUMUIYA ya wafanyabishara wa Kariakoo leo imetambulisha rasmi tamasha la Kariakoo ilijulikayo kama ‘Kariakoo Festival’ litakalowakutanisha wafanyabishara wakubwa na wadogo ili kuuza bidhaa zao kwa bei ya punguzo na kuwaunganisha na wateja wa ndani na nje ya nchi. Akizungumza wakati wa kutambulisha Kariakoo Festival,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo,Martin Mbwana amesema tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Agosti 24 hadi 31,2024 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Amesema lengo la tamasha hilo ni kumuunga mkono Rais Samia kwa kauli yake kuwa Kariakoo inaweza kuchangia kipato kikubwa kwenye serikali na kutangaza wafanyabiashara kwasababu kumekuwa na changamoto kubwa…
Karibu Arusha24tv Leo July 18 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv .
Na Mwandishi Wetu Sakata la Mfanyabiashara Maarufu Jijini Arusha,Justin Nyari na aliyeshinda tuzo katika Mahakama ya Rufaa dhidi ya Kampuni ya The Guardian limeingia katika sura mpya baada Wakili wa Mfanyabiashara huyo kusema kuwa Dalali wa Kampuni ya First World Investment ya Jijini Arusha ndio kikwazo cha utekelezaji wa uuzwaji wa mali za kampuni hiyo ya vyombo vya habari. Mahakama ya Rufaa iliiamuru Kampuni The Guardian ya Jijini Dar es Salaam kumlipa Justin Nyari Mfanyabiashara wa Madini ya Tanzanite kiasi cha shilingi milioni 410 ndani ya siku 14 ilizopewa na Mahakama hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari nje ya Mahakama…
Na Geofrey Stephen Arumeru Mkuu wa wilaya EMMANUELA MTATIFIKOLO KAGANDA amepokea Majengo matatu ya kisasa kutoka kwa Mdau wa Maendeleo Mzee Aminiel Nko. kikongwe wa miaka 92 mkazi wa seela Sigisi Wilayari Arumeru Mkoani Arusha . Akipokea majengo hayo kwa niaba ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kaganda amewataka vijana kuiga mfano mzuri wa uzalendo alioonyesha mzee huyo kwa kujali jamii yake inayo mzunguka kwa kujenge ofisi Kituo cha Polisi, kilicho jengwa kwa gharama ya Milioni 60, Ofisi ya Kijiji milioni 50 na ya CCM milioni 50 ambazo zote kwa pamoja zimezinduliwa tayari kwa matumizi ya wanachi wa kata hiyo…
Karibu Arusha 24tv leo July 17 kutazama kilicho Andikwa katka Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Na mwandishi wetu Ofisi ya Waziri Mkuu yaibuka mshindi wa kwanza kwa banda bora na utoaji bora wa huduma kwa ngazi ya Wizara zilizoshiriki katika maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) jijini Dar es salaam. Akipokea tuzo ya Ofisi hiyo kwa niaba ya Uongozi wa Ofisi, Mkurugenzi wa Idara ya Uwezeshaji Kiuchumi na Maendeleo ya Sekta Binafsi Bw. Condrad Millinga ameshukuru kwa namna ushindani ulivyoenda na kuipa Ofisi ya Waziri Mkuu ushindi wa Kwanza katika maonesho hayo. Amepokea tuzo hiyo kutoka kwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Sulemani Jafo hii leo Julai 13, 2024. Maonesho hayo yamefungwa…
Na Bahati Siha, Waganga wa tiba asili na tiba mbadala Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,wametakiwa kuwataja watu wanaofanya shughuli hizi bila kuwa na vibali ili Sheria iweze kuchukua mkongo wake Pia kwa wale ambao vibali vyao muda wake unataka kumalizika wametakiwa kuviuisha tena Haya yamesemwa na Mkuu wa Wilayani hiyo Christopher Timbuka,alipokutana na wahudumu hao wa tiba asili katika ukumbi wa Hospitali ya Wilayani hiyo,kwa lengo la kuimarisha ulinzi na usalama katika wilaya hiyo. Akizungumza katika kikao hicho Amewataka wahudumu hao kufanya kazi kwa mujibu na utaratibu unaokubalika na kwa mujibu wa vibali vyao “Kubwa ni kufuata utaratibu zilizopo, nafahamu mratibu…