Karibu Arusha24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo July 16 mwaka 2024 mbele na nyuma Hii ni A24rv.
Author: Geofrey Stephen
Karibu Arusha 24tv kutazama kilicho Andikwakatika Magazeti ya leo Jul 15 Mwaka 2024 ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv
Na Richard Mrusha Serikali ya Jamhuri ya Burundi leo tarehe 12 Julai 2024 imezindua ujenzi wa miundombinu katika eneo la Bandari kavu ya Kwala lililoko Mkoani Pwani. Uzinduzi huu unaashiria kuanza rasmi kwa ujenzi wa Uzio Pamoja na miundombinu ya kibandari kwenye eneo la hekari 10 ambalo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) iliikabidhi kwa Serikali ya Jamhuri ya Burundi. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Waziri wa Uchukuzi wa Burundi Mhe.Marie Chantal Nijimbere amesema uendelezaji wa Bandari kavu hii ni kiungo muhimu katika ukuaji wa uchumi wa nchi hizi mbili na uendelezaji wa…
Na Richard Mrusha Wananchi wametakiwa kutumia mfumo wa e- mrejesho katika kuwasilisha changamoto zao kwa Serikali na kutoa hoja zao ili ziweze kufanyiwa kazi. Rai hiyo imetolewa na Mamlaka ya Serikali e- mrejesho katika mtandao wake wa (eGA) kwa lengo la kushughulikia changamoto za wananchi kwa haraka zaidi. Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la eGA kwenye maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) jijini Dar Dalaam Meneja Mawasiliano wa eGA Subira Kaswaga amesema suala la kujenga mifumo kwa ajili ya kurahisisha utendaji kazi katika utumishi wa umma ni jukumu la eGA huku akisema katika jukumu hilo imejenga…
Na Richard Mrusha Taasisi ya Udhibiti wa shughuli zote za utafutaji uendelezaji na uzalishaji wa mafuta na gesi nchini (PURA) waja na mpango mkakati wa kujenga mazingira bora yanayovutia kwa wawekezaji wa sekta ya mafuta na gesi wanaokuja kufanya utafiti na uwekezaji nchini. Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Petroleum Upstream Regulatory Authority ( PURA ) Mhandisi Charles Sangweni ameyasema hayo leo Jijini Dar es salaam wakati akitembelea maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba 2024) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Amesema wanatarajia kutangaza maeneo watakayowashawishi na kuwavutia wawekezaji kuwekeza katika Sekta…
Karibu Arusha24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo July ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho .
Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Askari wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha ambao wamehitimu mafunzo ya udereva leo Julai 12, 2024 wametakiwa kuzingatia mafunzo waliyopewa sambamba na kwenda kuwa mabalozi wazuri kwa kuhakikisha wanafuata sheria za usalama barabarani Mkuu wa Operesheni za Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Salvas Makweli ambaye alimwakilisha Kamanda wa Polisi Mkoani humo ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya udereva yaliyoratibiwa na Jeshi la Polisi na kufanyika katika Chuo cha Ufundi Arusha. ACP Makweli amebainisha kuwa Askari hao ambao wamefuzu mafunzo ya udereva wataenda kuwa msaada mkubwa hasa ikizingatia…
Na Geofrey Stephen .Arusha Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Christopher Timbuka amesema itafikapo Agust mwaka huu wataenda kwenye vyanzo vya maji vya Somili na Urundini kuangalia upatikanaji wa maji namna gani ya ugawaji maji kati ya makundi mawili ya muekezaji pamoja na Wananchi. Haya yamesemwa katika mkutano wa hadhara wa Wananchi Kijiji cha Namwai Wilayani humo ambapo Mkuu huyo alifika kusiliza malalamiko kwamba muekezaji wa kampuni moja ya kuku amepewa maji mengi na hofu yao kwamba maji kwenye mfereji wao wa umwagiliaji yatapungua na kusabishia mazao yao kukauka. Mkuu huyo Akizungumza katika mkutano huo iliofanyika katika ofisi ya…
Karibu Arusha24tv leo July 12 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hi ninA24tv.
Na Richard Mrusha Mwenyekiti wa bodi ya PURA Halfan Ramadhani Halfani amesema wamejipanga vizuri kuongeza wawekezaji kwenye utafutaji kwani kwa mda mrefu walikuwa hawana wawekezaji wa kutosha Amesema sasa hivi wanalo jukumu la kutafuta wawekezaji hususani kwenye hayo maeneo ambayo yako wazi ili kutekeleza hilo kwa sababu taasisi imekua ikifanya matayarisho. Amesema sheria ya mafuta inasema wawekezaji watafutwe kwa njia ya ushindani na sio kwa kuokotwa na ili uwapate kwa ushindani kuna kitu kinafanyika kinaitwa Duru, Duru ni mkutano wa kutangaza maeneo husika ya miradi hivyo wanakuja pale kisha wanapewa utaratibu wa kuandika madokezo ya kuomba miradi. Amesema na Duru…