Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24tv . Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Elimu, Utamaduni na Michezo imeitaka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuongeza kasi ya kuwezesha tafiti na bunifu zitakazo tatua changamoto zinazoikabili jamii na sekta mbalimbali. Akizungumza Januari 20,2024 wakati wa ziara ya Kamati hiyo katika Ofisi za COSTECH Jijini Dar es Salaam Kaimu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Musa Siima amesema COSTECH ina wajibu wa kusimamia na kufanya tafiti mbalimbali zitakazoisaidia taifa katika kutatua changamoto mbalimbali pamoja na zile zitakazochagiza maendeleo. Mhe. Siima amesema kuwa Kamati imefarijika kuwa Serikali kupitia Wizara inatoa fedha za Maendeleo kwa…

Read More