Author: Geofrey Stephen

Siha, Nyumba yenye vyumba 11 vya wapangaji Kijiji cha Ngarenairobi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro iliyojengwa kwa mbao vimeteketea kwa Moto na kusababisha hasara kubwa Tukio hilo kulitokea julai 6 mwaka huu majira ya saa moja na nusu usiku, chanzo kikidaiwa kuwa na jiko la ges kulipuka kwenye mmoja ya chumba cha wapangaji, Ambapo pia Wananchi wakishauriwa kujenga nyumba za kudumu kwa kutumia tofali. Mtendaji wa Kijiji hicho Seif Mwemgamba Akizungumza na waandishi wa habari ,amesema moto huo, umesababisha hasara kubwa ambapo ,umeteketeza kila kilichokuwa ndani ya nyumba “Yaani mtu alivyotoka ndivyo hivyo alivyo ,kama nguo alizovaa ndivyo hizohizo vitu…

Read More

Na Geofrey Stephen Mto wa Mbu Kwa mara ya pili tena kwa kishindo kizito Taasisi ya wanahabari ya usaidizi wa Jamii za Pembezoni (MAIPAC) imezindua mradi wa uhifadhi wa mazingira kwa kutumia maarifa ya asili huku Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli ameahidi kutoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa kituo Cha kujifunza maarifa ya asili Mradi huo wa Mazingira unafadhiliwa na Mfuko wa Mazingira Duniani(GEF) kupitia program ya miradi midogo ambayo inasimamiwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na kuratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira). Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli mkoa wa Arusha, Isack Joseph…

Read More

Na Richard Mrusha Dkt Jakaya Kikwete atembelea Banda la JKCI akijionea watanzania wakipatiwa huduma afya ya moyo bure katika maonyesho ya Sabasaba RAIS Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ametembelea banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kujionea jinsi ambavyo watanzania wakipatiwa huduma ya upimaji na ushauri kuhusu afya ya moyo bure katika viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Mheshimiwa Rais Mstaafu kutembelea banda hilo, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano JKCI, Anna Nkinda, amesema kuwa zaidi ya watu 600 wamepatiwa huduma ya…

Read More

Na Richard Mrusha Veta yaja na teknolojia ya kumasadia mkulima kwa ajili ya kutengeza udongo unatolewa msituni kwa ajili ya kuotoshea miche ya bustani na mboga mboga kabla ya kupeleka shambani. Akizungumza leo julai 6,2024 na waandishi wa habari ndani ya Banda la Veta katakata viwanja vya mwalimu Nyerere kwenye maonesho ya 48 ya kimataifa ya biashara saba saba,afisa ufutiliaji na Tathmini ya mafunzo Veta Muhandisi Joseph Kimako amesema udongo huo wanaoutengeneza unamchanganyiko wa mabaki ya mpunga na mbolea ya samadi. Amesema mchanganyiko huo wa udongo wanapouchanganya na huupeleka kwenye mtambo kisha uchemsha maji na majai hayo pindi yanapochemka kwa…

Read More

Na Richard Mrusha MWENYEKITI wa Jumuiya ya wafanyabiashara soko la Kariakoo Martine Mbwana amewaasa wafanyabiashara kwenda kwenye maonesho hayo kujifunza kwa wengine. Aidha amewaasa kufika katika banda la Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) ili waweze kuona shughuli zinanazo fanywa na TRA na kuhudumiwa kama wana changamoto zozote. Mbwana ameyasema hayo katika maonesho ya Kimataifa ya 48 Biashara (sabasaba) jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari alipotembelea banda la TRA. “Mimi nimekuja hapa,nimetembelea kwenye banda la TRA,wamejipanga vizuri kuwahudumia wananchi hususani wafanyabishara. “TRA wapo idara zote wanafundisha ,wanajibu na changamoto zote zinazohusiana na TRA zinatatuliwa hapa hapa kwenye…

Read More

Na Richard Mrusha MBUNIFU wa mradi wa kifaa cha kufundishia Mfumo wa Jua, Sayansi ya Anga na Muundo wa Atomu Ernest Maranya amesema kuwa kupitia Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA),amebuni kifaa hicho kwa lengo la kufundishia shule za msingi na sekondari nchini. Akizungumza leo Julai Mosi jijini Dar es Salaam kwenye maonesho ya 48 ya kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF), amesema kuwa mradi huo umekamilika ambapo umetolewa mtaala na kuruhusiwa uweze kutumia kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari. Mbunifu huyo ameongeza kuwa mradi huo umepitia hatua mbalimbali za tathimini katika mamlaka zinazohusika…

Read More

Wajadili kinagaubaga kuhusu nafasi ya watu wenye ulemavu katika Taasisi za Umma. Na Mwandishi Wetu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka yako Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA Mabula Misungwi Nyanda amekutana na Mkurugenzi wa Taasisi ya watu wenye ulemavu ( Foundation for Disabilities Hope – FDH) Bw. Michael Salali na kufanya mazungumzo kuhusu nafasi ya Taasisi za Umma katika kuhudumia na kuwawezesha watu wenye ulemavu kushiriki katika shughuli za uhifadhi na utalii. Mazungumzo hayo yaliyofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya TAWA Mkoani Morogoro Julai 04, 2024 yalijikita katika kuangalia namna Taasisi za Umma zinavyoweza kutoa huduma rafiki kwa…

Read More

Happy Lazaro,Arusha . Wanawake wanaochipukia kwenye nafasi mbalimbali za uongozi wametakiwa kuwa na udhubutu wa kugombea nafasi mbalimbali na kuwa mstari wa mbele katika kutoa maono kwani wana mchango mk.ubwa katika jamii . Hayo yamesemwa mkoani Arusha na Mbunge wa bunge la Afrika Mshariki ,Fatuma Ndangiza wakati akizungumza katika mdahalo wa kwanza wa Afrika Mashariki kuhusu wanawake kwa maswala ya uongozi bora . Aidha mdahalo huo uliwashirikisha wanawake wanaochipukia kwenye nafasi mbalimbali za uongozi na kufanyika katika makao makuu ya jumuiya ya Afrika Mashariki. Fatuma amesema kuwa,lengo la mdahalo huo ni kuwakutanisha vijana hao wanaochipukia kwenye uongozi kuweza kubadilishana uzoefu…

Read More

Na Richard Mrusha Kampuni ya mawasiliano ya Tigokwa nchini Tanzania, inatalajia kufanya uzinduzi wa simu mahiri za bei nafuu zaidi, ZTE A34 kwa ushirikiano na ZTE Tanzania kupitia Sako kwa Bako na Simu janja kwa Mpango campaign. Uzinduzi huu unaashiria hatua kubwa ya kusonga mbele katika dhamira inayoendelea ya Tigo ya kuunganisha watu ambao hawajaunganishwa na kuwapa wateja fursa ya kufurahia mtandao ulioboreshwa na mpana zaidi wa 4G nchini. Imelda Edward, Meneja wa Kifaa wa Tigo, alisisitiza umuhimu wa ushirikiano huu wa kimkakati na ZTE Tanzania. “Ushirikiano wetu na ZTE ni uthibitisho wa dhamira yetu ya kupunguza mgawanyiko wa kidijitali…

Read More