Na Richard Mrusha MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2023/2024 imeweza kukusanya shilingi trilioni 27 .64 nakuipa fursa Serikali kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo na kustawisha maisha ya watanzania pasipo na wasiwasi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai Mosi, 2024 na aliyekuwa Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidata, imesema makusanyo yameongezeka kwa asilimia 14.50 yakilinganishwa na makusanyo ya Sh trillioni 24.14 ya mwaka wa fedha 2022/2023. “Kiasi cha fedha tulichokusanya ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 28.30,” nakubainisha kuwa katika kipindi cha robo mwaka ya nne,…
Author: Geofrey Stephen
Na Bahati Hai. Siha,Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu ametoa siku 30 kwa halmshauri za mkoa huu kufutilia na kurejesha mikopo ya asilimia 10 ambavyo vikundi vilikuposhwa na halmshauri hizo na kushindwa kurejesha Kauli hiyo ameitoa leo katika kikao maalumu Baraza la madiwani kujadili hoja za mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG)kilichofanyika katika ukumbi wa halmshauri,nakuhudhuriwa na Viongozi wa Dni , Madiwani ,wakuu wa idara Akizungumza katika kikao hicho ametoa mwezi mmoja kwa anayedaiwa kurejesha fedha hizo ili na wengine waweze kukopeshwa ” Sasa natoa agizo nawala sio ombi kote nilikopita nimetoa mwezi mmoja kuhakikisha fedha zote zinakusanywa na…
Na bahati Hai Halmshauri ya wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro imepata tuzo baada ya kumeshika nafasi ya tatu Kitaifa kwa upashaji wa habari mbali mbali za maendeleao pamoja na za kijamii katika Wilayani hiyo Taarifa hiyo imejiri katika kikao maalumu cha Baraza la madiwani kujadili hoja za mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG), kikichofanyika katika ukumbi wa halmshauri hiyo na kuhudhuria na Viongozi mbali mbali wa serikali na Dini. Mkurungenzi mtendaji wa halmshauri ya Siha mkoani Kilimanjaro Haji Mnasi, katika taarifa yake kwenye kikao hicho ,amesema ushirikiano kitenge cha habari na mawasiliano ndicho kilichochngia kupata nafasi hiyo “Ni kweli tumeoata…
Na Richard Mrusha Katika kuwajengea ujuzi watu wasioona vyuo vya elimu ya mafunzo ya ufundi stadi (Veta) vimeanza kutoa mafunzo kwa jamii hiyo kuwanoa kuendana na mahitaji ya soko la ajira katika karne ya sasa. Mmoja wa wanafunzi asiyeona katika fani ya useremala, Raphael Mwambalaswa, amekuwa kivutio kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kutokana na kudhihirisha uwezo wake katika fani hiyo. Mwambalaswa ambaye pia ni Mhadhiri Msaidizi katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE), amesema Veta wanaweza kumsaidia mtu asiyeona kuweza kujitegemea ndiyo maana aliamua kwenda kujifunza. “Nipo nasoma lakini funzo kwa jamii…
Karibu Kituo chako bora cha matangazo cha A24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania July 3 Mwaka 2024 mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho .
Na Richard Mrusha Mfuko wa SELF ulio chini ya Wizara ya Fedha umeanzisha huduma mpya ya bima kwa lengo la kulinda mali za wateja. Akizungumza Julai Mosi,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba, Afisa Bima katika Mfuko wa SELF, Rasuli Sadala, amesema huduma hiyo imeanzishwa kuwawezesha wateja waishi kwa amani hasa yanapotokea majanga mbalimbali “Kuna majanga mbalimbali yanatokea mfano ya wizi, moto, ajali mbalimbali na yanakuja bila mtu kuwa amejiandaa, lakini ukiwa na bima inaweza ikakulinda kulingana na majanga. Kwahiyo Mfuko wa Self umekuwa wakala kwa ajili ya kutoa huduma hizi kwa wateja wetu. “Endapo gari…
Karibu Arusha24tv leo July 2 Mwaka 2024 kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv Mwisho .
Karibu Arusha24tv leo July 1 2024 kutazama kilicho andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . ⁶ Mwisho .
Na Richard Mrusha: Dar es salaam. Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) wamemchagua Injinia Aivan Maganza kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho. Msimamizi wa uchaguzi huo, Rashid Amir, amemtangaza Maganza kuwa mshindi baada ya kupata kura 33.huku wagombea wenzake wanne wakiangukia pua mara baada ya mwanga kishika nafasi ya pili kwa kupata kura 10 huku Stanley kura mbili na wagombea wawili wakipata kura sifuri . Akizungumza baada ya kuchaguliwa Maganza ameahidi kukibadilisha chama hicho na kuwa cha kisasa huku akituma salamu kwa vyama vingine kwamba vijipange. “Wale ambao wako TLP kwa nia ya kukivuruga chama…
Mwandishi wetu.A24tv. Dar es salaam.Wamiliki wa vyombo vya habari nchini,wametakiwa kuwalipa malimbikizo ya madai wafanyakazi wao wanaowadai na kutoa mikabata ya ajira ili kuongeza Uhuru wa habari na kujieleza nchini. Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi wa ldara ya Habari Maelezo, Bw.Thobias Makoba alitoa wito huo juzi wakati anafungua kongamano la Uhuru wa kujieleza na sheria za habari nchini,lililoandaliwa na Mtandao wa watetezi wa Haki za binaadamu nchini (THRDC). Makoba alisema serikali inajua changamoto ambazo zinakabili vyombo vya habari ikiwepo suala la kiuchumi hata hivyo wakati serikali Inaendelea na mchakato wa kulipa madeni yake kwa vyombo vya habari…