Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24tv. Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji Mb), amesema Dhamira ya Serikali ni kuhakikisha viwanda vya wawekezaji wa ndani na nje vinalindwa ili viweze kuzalisha ajira kwa Watanzania. Dkt. Kijaji ameyasema hayo Desemba 23, 2023 alipotembelea Kiwanda cha Kahawa cha Amir Hamza (T) Ltd kilichopo Mkoani Kagera ili kujionea shughuli za uzalishaji, kusikiliza na kutatua changamoto zinazokikabili kiwanda hicho. “Viwanda vikizalisha bidha na vikapata faida, vitaongeza uzalishaji. Kadri kiwanda kinavyokua ndivyo kinavyohitaji malighafi na kuongeza ajira kwa Watanzania”. Amesema Dkt. Kijaji Akiwa kiwandani hapo Dkt. Kijaji amebainisha kuwa Kiwanda hicho cha AMIZA chenye uwezo wa…

Read More

Aijawai kutokea katika kumbukizi ya kuanzishwa kwa bar maarufu ya Afrocana Lounge ya Jijini Arusha Wakiongea na vyombo vya habari wafanyakazi wa Bar hiyo wamejitamba ushirikiano walio nao na boss wao fred kwamba ni wa aina yake na kwamba wanaishi mae kama moja ya wateja kutokana na kua na mapenzi mema katika kazi anayo onyesha wafanyakzi wake tofauti na maboss wengine kudharau wahudumu wa bar Matukiokatika Picha Miaka14 ya AfricanaLounge

Read More

Na Geofrey Stephen .Arusha Serikali imewataka Viongozi wa Taasisi zinazohusika na Mradi wa Kimkakati wa Magadi Soda ulioko Engaruka Wilayani Monduli Mkoani Arusha kushirikiana kwa karibu katika kukamilisha taratibu zote zinazohitajika ili Mradi huo unaotarajiwa kuongeza ajira, malighafi za viwandani, kukuza biashara na uchumi wa Taifa uanze kutekelezwa kwa wakati. Hayo yamesemwa Desemba, 21,2023 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Bw. Elijah Mwandubya na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Bw. Kheri Mahimbali walipotembelea Mradi huo wa Kimkakati wa Magadi kwa lengo la kuona utekelezaji wake…

Read More