Na Mwandishi wa A24tv. Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji Mb), amesema Dhamira ya Serikali ni kuhakikisha viwanda vya wawekezaji wa ndani na nje vinalindwa ili viweze kuzalisha ajira kwa Watanzania. Dkt. Kijaji ameyasema hayo Desemba 23, 2023 alipotembelea Kiwanda cha Kahawa cha Amir Hamza (T) Ltd kilichopo Mkoani Kagera ili kujionea shughuli za uzalishaji, kusikiliza na kutatua changamoto zinazokikabili kiwanda hicho. “Viwanda vikizalisha bidha na vikapata faida, vitaongeza uzalishaji. Kadri kiwanda kinavyokua ndivyo kinavyohitaji malighafi na kuongeza ajira kwa Watanzania”. Amesema Dkt. Kijaji Akiwa kiwandani hapo Dkt. Kijaji amebainisha kuwa Kiwanda hicho cha AMIZA chenye uwezo wa…
Author: Geofrey Stephen
Jumapili ya leo tarehe December 24 Mwaka 2023 karibu Arusha 24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho
Katika kuadhimisha miaka 45 ya Bar maharufu jijini Arusha ya picnic ngome kongwe imeweka historia yake binafsi baada ya kufanya tukio kubwa na kufunga mwaka kwa aina yake tazama picha katika matukio .na A24tv . Mwisho.
Mchana huu wateja wa bar mashuhuri jijini Arusha wakipata chakula cha mchana pamoja na vinywaji mbali mbali katika maadhimisho ya miaka 45 ya kuanzishwa kwake tazama picha katika matukio live . Mwisho.
Mwisho.
Karibu ArushaA24tv Juma Mosi ya leo ya tarehe 23December 2024 kutazama kilicho Andikwa katika Mgazeti ya Tanzania mbele nyuma Hii ni A24tv . Mwisho
Aijawai kutokea katika kumbukizi ya kuanzishwa kwa bar maarufu ya Afrocana Lounge ya Jijini Arusha Wakiongea na vyombo vya habari wafanyakazi wa Bar hiyo wamejitamba ushirikiano walio nao na boss wao fred kwamba ni wa aina yake na kwamba wanaishi mae kama moja ya wateja kutokana na kua na mapenzi mema katika kazi anayo onyesha wafanyakzi wake tofauti na maboss wengine kudharau wahudumu wa bar Matukiokatika Picha Miaka14 ya AfricanaLounge
Na Geofrey Stephen .Arusha Serikali imewataka Viongozi wa Taasisi zinazohusika na Mradi wa Kimkakati wa Magadi Soda ulioko Engaruka Wilayani Monduli Mkoani Arusha kushirikiana kwa karibu katika kukamilisha taratibu zote zinazohitajika ili Mradi huo unaotarajiwa kuongeza ajira, malighafi za viwandani, kukuza biashara na uchumi wa Taifa uanze kutekelezwa kwa wakati. Hayo yamesemwa Desemba, 21,2023 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Bw. Elijah Mwandubya na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Bw. Kheri Mahimbali walipotembelea Mradi huo wa Kimkakati wa Magadi kwa lengo la kuona utekelezaji wake…
Karibu Arusha24Tv leo December 22kutazama kilicho andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho .