Karibu kituo chako bora cha matangazo cha A24tv kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo Jun 29 kilicho Andikwa mbele na nyuma Hii ni A24tv.
Author: Geofrey Stephen
Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya vijiji 69 vya mikoa ya Tanga, Mkangara, Dodoma, Lindi na Ruvuma vimenufaika kiuchumi, kijamii na mazingira kupitia Mradi wa Kuongeza Mnyororo wa Thamani kwenye Mazao ya Misitu (FORVAC). Mradi huo ambao ulianza mwaka 2018 na kufikia mwisho mwaka Julai mwaka 2024 umewezesha vijiji 69 kupata zaidi ya Sh bilioni 9 kwa kipindi cha miaka sita, ambazo zimetumika kutekeleza miradi ya kijamii. Hayo yamesemwa na Mtaala wa Misitu kutoka Mradi wa FORVAC, Marcel Mutunda wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, ambapo amesema mradi huo umefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 100. Mutunda amesema…
Qq Mwisho .
Hai, Mkazi wa Kingereka Bomang’ombe Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Rashidi Thomas (19),Dereva bajaji amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha 60 jela kwa kosa la kubaka na kulawiti binti wa miaka (17 )ambeye ni mama lishe Mwendesha mashitaka wa Serikali Lubulu Mbise mbele ya Hakimu Mkazi mfawidhi mwandamizi wa Mahakama hiyo Julieth Mawole , amesema kwamba tukio hilo june 19 mwaka jana. Mwendesha mashitaka huyo ameeleza kuwa mshitakiwa siku ya tukio majira ya usiku mshitakiwa alifika sehemu wanapouza chakula na kumwambia huyu binti kwamba kuna mteja anahitaj chakula apelekewe Hakufana hiyana kwa sababu ni jambo la kawaida kuwapelekea wateja chakula katika…
Karibu Arusha 24tv leo Jun 27 2024 kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho Visit website
Mwandishi wetu Taasisi ya habari kusini mwa Afrika tawi la Tanzania(MISA-TAN),imeiomba serikali kupunguza viwango vya ada ya kuendesha mitandao ya kijamii(Blogs,Online Tv na You Tube ili kuvutia vijana wengi kumiliki.mitandao kisheria. MISA pia imeomba serikali kuharakisha kuunda baraza huru la habari na mfuko wa kusaidia wanahabari nchini kujiendeleza kielimu. Mjumbe wa bodi ya MISA-Tan,Mussa Juma ametoa wito huo leo June 26, wakati akifunga Warsha ya waandishi wa habari na wadau wa habari kujadili kanuni za maudhui ya mtandaoni za mwaka 1998 na maboresho yake katika hotel ya Silver sand kunduchi jijini Dar es salaam. Warsha hiyo iliandaliwa na MISA-Tan kwa…
Dar Es Salaam- Tanzania, June 15, 2024 – Emirates Skywards, the award-winning loyalty program of Emirates, continues to revolutionize the loyalty industry with its innovative initiatives and customer-focused strategy. Over the past year, the program has introduced exciting new features and expanded its brand portfolio, attracting 33 million members worldwide. Here are five ways Emirates Skywards has enhanced the loyalty experience for its Tanzanian members: Exclusive Skywards Experiences: Members can now enjoy unique opportunities through Skywards Exclusives, such as hospitality tickets and VIP experiences at major sporting events like the US Open and Wimbledon. Additionally, new lifestyle partnerships offer experiences…
Karibu Arusha 24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo. Tarehe 26 Mwezi Jun ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho
Na Mwandishi wa A24tv . Chama cha mapinduzi (CCM), Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kimeitaka ugwaji wa Aridhi katika Kijiji cha Sanya station kata ya KIA Wilayani hapo kuzingatiwe sheria na taratibu ili kuepusha malalamiko kutoka kwa Wananchi Wananchi hao ni wale pamoja na vijiji vya Sanya station,Tindigani na chemka walioridhia kupisha eneo na kupewa fidia na Serikali baada ya kubainika kuwa kwenye eneo la Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA). Mwenyekiti wa chama hicho Wilaya Wangub Maganda akiongea kwenye mkutano wa kuwasilisha na utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020,2023 kata ya KIA iliyofanyika katika Kijiji…
Karibu Arusha24tv leo Jun 24 mwaka 2024 kutazama kilicho andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv .