Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen . Benki ya CRDB imekabidhi gari jipya aina ya Vanguard lenye thamani ya Milioni 30 kwa mshindi wa jumla Dkt Bakati Zuberi akitokea Mkoani Arusha,aliyeshinda kupitia kampeni maalumu ya Benki ni SimBanking kupitia simu za mkononi. Akiongea wakati wa hafla ya kukabidhi gari hilo ,iliyofanyika katika benki hiyo tawi la Usariver wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha. Mkuu wa Kitengo cha wateja na biashara ,Steven Adil alisema benki ya CRDB ilitenga kiasi cha sh,milioni 350 kwa ajili ya kampeni hiyo iliyozinduliwa februali 14 mwaka huu,Mbagala jijini Dar-Es-salaam. “Kampeni hiyo imekuwa na manufaa makubwa sana kwa watanzania wenye kufahamu…

Read More

Na Richard Mrusha CHAMA cha Mapinduzi CCM kimetoa wito kwa watanzania kujitokeza kushiriki na kutoa maoni yao katika Dira ya Maendeleo ya taifa ya mwaka 2025 -2050 ili kuchagua Tanzania wanayoitaka. Katibu Mwenezi wa CCM, Paul Makonda amebainisha hayo leo Desemba 21, 2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari kwa Lengo la kuzungumzia ziara zilizofanywa na viongozi wao katika kuimalisha chama. Pia amefafanua kuwa mchakato wa kutoa taarifa kwa vyombo vya habari utakuwa ukifanyika kila baada ya robo mwaka ili kutoa fursa kwa wanaccm na wananchi kufahamu yaliyotekelezwa,baada ya ziara za viongozi wao. “Tunashukuru baada ya kufanya ziara katika mikoa…

Read More

Mwandishi wetu,Maipac. Viongozi wa Hifadhi ya jamii ya wanyamapori ya Burunge ,pamoja na viongozi wa halmashauri ya Babati,wamejifunza Mbinu ya Kisasa ya kutumia waya wa umeme kuzuia wanyamapori wakali kama Tembo na Simba kuleta madhara kwa binaadamu. Viongozi wa hao Burunge WMA wakiwepo Wajumbe wa kamati ya uongozi (AA)wajumbe wa Bodi na viongozi wa halmashauri ya Babati na idara ya wanyamapori Mkoa Manyara,wamefanya ziara ya mafunzo ya siku mbili Ikona WMA kwa ufadhili wa Taasisi ya Chemchem Association, ambayo imewekeza shughuli za uhifadhi na Utalii katika eneo hilo n kupata fursa kujifunza. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Babati Anna Mbogo…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv . Wananchi wa Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wametakiwa kufanya kilimo biashara katika zao la kakao ili kuinua uchumi wao kutokana na zao hilo kuzidi kupanda bei. Ushauri huo umetolewa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Exaud Kigahe(Mb) Desemba 18,2023 wakati wa ziara yake ya kuona maendeleo ya zao la biashara la kakao wilayani Kyela. Katika ziara hiyo Naibu Waziri huyo amewataka Wizara ya Kilimo kupitia maafisa ugani kutoa elimu kwa wakulima ili kuzalisha kibiashara zaidi kwani zao hilo limekuwa na faida kubwa katika kuinua uchumi wao na Taifa kwa Ujumla. Aidha Mhe Kigahe amezielekeza…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Serikali imekipongeza chuo cha Uhasibu Arusha kwa kuja na mabadiliko ya mitaala ya elimu katika upande wa kilimo, Biashara ,ufundi,utalii ambayo kwa kiasi kikubwa inayoakisi  mazingira halisi ya  kuisaidia Tanzania katika ukukuzaji wa uchumi. Akiobgea katika mahafali hayo Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde ameyasema hayo kwa niaba ya Waziri wa fedha  wakati akizungumza katika  mahafali ya 25 ya  Chuo  cha Uhasibu Arusha yenye wahitimu 5387 yaliyofanyika Katika hoteli ya Ngurdoto wilaya ya Arumeru mkoani Arusha. Amesema serikali imewekeza fedha nyingi katika vyuo vya elimu ya kati na vyuo vikuu, kutokana na jitihada kubwa  zinazofanywa…

Read More