Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wetu Tanga Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe. Japhari Kubecha ametoa wito kwa Halmashauri ya Jiji la Tanga ◦ na mamlaka ya mapato (TRA) kufanya kazi kwa pamoja ikiwa ni pamoja na kuwezesha mifumo isomane ili kuokoa muda kwa wafanyabiashara. ◦ ◦ Mhe. Kubecha amesema hayo leo katika kikao cha wadau na wafanyabiashara ambapo amesikiliza kero mbalimbali za wafanyabiashara, wasafirishaji, wakulima, bodaboda, wadau wa viwanda, pamoja na wenyeviti wa masoko ya Jiji la Tanga. ◦ Kubecha amemwagiza Afisa Maendeleo ya Jamii Bw.Simon Mdende kutoa elimu kwa ◦ wafanyabiashara wadogo wadogo juu ya upatikanaji wa kitambulisho cha mfanyabiasha ◦○…

Read More

MWENYEKITI wa Kamati ya Usuluhishi na Usalama katika Migodi ya Tanzanite iliyopo katika Mji wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara,Charles Chilala amewataka wamiliki wa migodi hiyo kuheshimu maamuzi ya kamati pindi wanapoamua migogoro wa kuingiliana ndani ya migodi {Mitobozano} lengo ni kulinda amani na usalama mgodini. Chilala ameyasema hayo baada ya kupata malalamiko kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Njake Enterprises and Oil Transport inayechimba madini ya Tanzanite katika kitalu B Mirerani ,Japhet Lema kwa kuilalamikia kampuni ya Gem & Rock Venture inayo milikiwa na Joel Mollel maarufu kwa jina la (Saitoti)  kwani septemba 2 mwaka huu wafanyakazi wa kampuni…

Read More

Na Bahati Siha . Katibu wa chama cha mapinduzi (CCM), mkoani KilimanjaroMercy Mollel amewataka Wanachama wa chama hicho Wilayani mkoani hapa ,kujipanga vizuri ili kuweza kupata ushindi nguvu katika uchunguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika hivi karibuni na Aidha amewataka Wanachama pamoja na Wananchi hao kujitokeza kujiandikisha katika Dafutari la kudumu la wapiga kura kuanzia September 25 hadi October 1 mwaka huu , Pia October 11 hadi October 10 mwaka huu kunazoezi lingine kujiandikisha kwenye Daftari la mkazi kwa siku 10 ambalo unajiandikisha kwenye kitongoji chako Akizungumza na Wanachama pamoja na Viongozi wa chama hicho katika Kijijii cha Loigwa…

Read More

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride katika maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwenye maadhimisho yaliyofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo Jumapili Septemba 1, 2024.   RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi mbalimbali katika maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwenye maadhimisho yaliyofanyika kwenye uwanja wa Uhuru…

Read More

Na Richard Mrusha Mikumi Miaka 60 ya kuanzishwa kwa Hifadhi ya Taifa Mikumi imeleta mafanikio makubwa katika Sekta ya Utalii nchini yakichangiwa na jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa leo Agosti 31,2024 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) wakati wa Maadhimisho ya Miaka 60 ya Hifadhi ya Taifa Mikumi mkoani Morogoro ambapo amesema kupitia filamu maarufu ya “Tanzania: The Royal Tour” pamoja na filamu ya “The Amazing TANZANIA”zimekuwa chachu ya kukuza utalii na kuongeza idadi ya wageni wa ndani na nje ya nchi.…

Read More

A24tv Manyara . Na Mwandishi Wetu ,Manyara Kampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi yenye makao yake Makuu Mjini Babati Mkoani Manyara imepewa tuzo ya maalumu kutoka Chuo cha Ukamanda na Unadhimu (CSC) kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kusaidia jamii inayowazunguka Pamoja na kushirikiana na taasisi mbali mbali za kiserikali. Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo na Mwakilishi wa Mkuu wa Chuo cha Ukamanda na Unadhimu (CSC) chenye makao yake Mkoani Arusha , Colonel Verus Chrysostom Mbuzi katika ziara maalumu ya kimafunzo iyofanywa na Maafisa hao wa ngazi za juu wa Kijeshi kutoka mataifa mbali…

Read More