Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen ,Monduli Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha,Joshua Nassari amesema ataongoza zoezi la upimaji wa Ardhi na kuweka bikon katika kijiji cha Bwawani Moita na kuakikisha wananchi wanaondokana na migogoro isiyo kua na tija na kushindwa kufanya kazi za maendeleo katika kata hiyo . Nassari alisema hayo baada ya kuongea na viongozi wa Kijiji cha Moita Bwawani na kusema kuwa serikali inajua kila kitu juu ya mgogoro wa ardhi kwani baadhi ya viongozi wanajipanga na chaguzi zijazo hivyo wanashirikisha wananchi katika kujiandaa na uongozi miaka ijayo. Akizungumza katika mikutano miwili tofauti ya hadhara ya wananchi wa Kijiji…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv . Naibu Waziri Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Menejimenti na Utawala Bora Mhe. Riziwani kikwete amesema kuwa Serikali imeboresha mifumo ya upimaji utendaji kazi kwa watumishi wa Umma ambayo itawezesha watumishi kutekeleza majukumu yao waliyopangiwa ipasavyo na kurahisisha kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili watumishi. Mhe. Kikwete amesema hayo wakati akizungumza na watumishi wa wa Chuo cha Ufundi Arusha, wakati watumishi hao wakiwa kwenye mafunzo ya mifumo ya PEPMIS na PIPMIS yaliyofanyika kwenye ukumbi wa chuo hicho. Amesema kuwa mifumo hiyo imekuja kutokana na maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye alielekeza aina ya utumishi…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Waziri waMaji, Mhe. JumaaAweso (Mb)amewataka Watendaji wa Wizara ya Maji kutekeleza miradi kwa weledi, viwango na kuzingatia uadilifu. Mhe. Aweso amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa wadau wa Sekta ya Maji katika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano (wa AICC) Jijini Arusha, ambao unafanyikakwa siku mbili na kutaka Sekta Binafsi ipewe kipaumbele kama mdau mkuu katika kufanikisha masuala ya maji katika jamii. Amewashukuru na kuwapongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Arusha. Serikali imewaagiza waajiri wa Sekta zote nchini kuhakikisha wataalam wanaofanya shughuli za ununuzi na ugavi wanakuwa na sifa sitahiki kama ilivyoainishwa kwenye Sheria Na. 23 ya mwaka 2007 iliyoanzisha Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), pamoja na miongozo inayotolewa. Maagizo hayo yametolewa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), wakati akifungua Kongamano la 14 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi linalofanyika katika ukumbi wa AICC, jijini Arusha. Dkt. Nchemba alisema kuwa anasikitishwa na kuwepo kwa baadhi ya Wataalam wanaofanya kazi pasipo kuwa na sifa stahiki na bila kusajiliwa na Bodi…

Read More

Na Geofrey Stephen Monduli. Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kilimatinde Wilayani Arumeru Mkoani Arusha na wananchi wa Kijiji cha Moita Bwawani Wilayani Monduli wanamtuhumiwa Mwenyekiti wa Kijiji cha Moita Bruno Mollel kwa kumega ardhi ya malisho ekari 3,000 kuwa eneo la makazi bila ridhaa ya wananchi. Wakizungumza katika Mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na watu zaidi ya 150 uliofanyika katika Kijiji cha Moita Bwawani walisema na kuiomba serikali kusitisha zoezi hilo kwa kuwa Mwenyekiti  Mollel hajali wananchi wenye mifugo kwani eneo hilo lilitengwa kwa ajili ya malisho ya mifugo. Mmoja wa wananchi hao aliyejitambuylisha kwa jina la Ndoipo Mollel maarufu…

Read More

Na Mwadishi wa A24tv . Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023. Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye. Mwisho .

Read More