Karibu Arusha 24tv kituo chako bora cha matangazo kutazama habari kubwa katika magazeti ya leo May 29 mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho .
Author: Geofrey Stephen
Karibu Arusha24tv kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo May 28 Ya Tanzania kilicho anfikwa mbele na nyum Hii ni A24tv . Mwisho
Na Doreen Aloyce, Dodoma. KAMISHNA wa Sera za ununuzi wa Umma Wizara ya Fedha, Dkt.Frederick Mwakibinga amesema Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) ipo katika mchakato wa kuandaa Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za mwaka 2024. Dk,Mwakibinga amesema , kanuni hizo zitatoa wigo mpana wa kuwasilisha malalamiko ambapo mabadiliko hayo yatawapa wazabuni fursa ya kushindana kwa haki na uwazi katika zabuni mbalimbali. Dkt.Frederick Mwakibinga ambaye amemuwakilisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Jenifa Omolo ameyasema hayo katika kikao kazi cha kupokea maoni ya uandaaji wa kanuni za Rufani za Ununuzi wa Umma za mwaka 2024 kilichofanyoka…
Juma tatu ya leo May 27 karibu kutazama kilicho andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv .
Jumapili ya leo tarehe 26 mwezi May 2024 kutazama habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv .
JUMA MOSI YA LEO MAY 25 KARIBU KUTAZA HABARI KUBWA ZILIZO ANDIKWA KATIKA MAGAZETINYA LEO YA TANZANIA MBELENA NYUMA HII NI A24TV. Mwisho
Na Geofrey Stephen Arusha Anae zungumza na vyombo vya habari ni Mkurugenzi wa Kilifair ambaye pia ni mwandaaji wa maonyesho hayo ,Dominic Shoo Meneja Mkuu kutoka hoteli ya Serena Daniel Sambai akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maonyesho hayo mkoani Arusha. Atusha .Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki anatarajiwa kuwa mgenirasmi kwenye ufunguzi wa maonyesho ya kimataifa ya Karibu -Kilifair 2024 yanayotarajiwa kufanyika Juni 7 hadi 9 mwaka huu mkoani Arusha . Aidha katika maonyesho hayo wanunuzi zaidi ya 600 wa Utalii kutoka nchi 40 duniani na waonyeshaji pamoja na wadau 468 wa utalii kutoka nchi 37, wamethibitisha kushiriki…
Na Bahati Hai . Mahakama Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro imemuhukumi Mkazi wa Wilaya ya Longido Mkoani Arusha kwenda jela maisha kwa kosa la kubaka mtoto wa miaka( 8) wa kike. Siha, Mkazi wa Wilaya ya Longido Mkoani Arusha cha Samweli Mayani (29),mkulima amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha Maisha jela kwa kosa la kubaka mtoto wa miaka 8 Mkazi wa Kijiji cha Embokoi Wilayani siha Mshitakiwa huyo alifika katika Kijiji hicho kwa lengo la kufanya kazi za vibarua cha kulima Mwendesha mashitaka wa Serikali David Chisimba mbele ya Hakimu Mkazi mfawidhi wa Mahakama hiyo Jasmine Abdul amesema tukio hilo lilitokea November…
Na Bahati Hai . Mkuu wa jeshi la Polisi nchini,IGP Camilius Wambura amewataka askari na maofisa wajeshi hilo kufanya kazi kwa nidhamu,haki ,weledi na uadilifu ili kuleta tija kwa nchi bila kusahau kuwatendea haki wananchi. Moshi.Mkuu wa jeshi la Polisi nchini,IGP Camilius Wambura amewataka askari na maofisa wajeshi hilo kufanya kazi kwa nidhamu,haki ,weledi na uadilifu ili kuleta tija kwa nchi bila kusahau kuwatendea haki wananchi. Ametoa kauli hiyo leo Jumatano Mei 22,2024 katika hafla ya kuwatunuku nishani askari na maafisa 25 wa jeshi hilo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa…
Na Geofrey Stehen Arusha . Mkaguzi wa kata ya NGARENARO jijini Arusha Mkaguzi Msaidizi wa polisi TADEY TARIMO leo Tarehe 24/05/2023 amepita nyumba kwa nyumba katika mitaa ya Kambi ya Fisi na Darajani na kutoa elimu ya ulinzi na Usalama Mkaguzi huyo amezitaka Familia kutokukumbatia uhalifu na badala yake watoe TAARIFA za wahalifu walio katika makazi yao pamoja na uhalifu unaotendeka katika makazi yao. A/INSP TARIMO ameitaka jamii ya mitaa hiyo kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi pamoja na mamlaka ya kudhibiti na kuzuia madawa ya kulevya nchini DCEA kwa kupiga namba ya bure 119 ili kutoa TAARIFA za wanaojihusisha…