Author: Geofrey Stephen

Geofrey Stephen ,Arusha . Arusha .Bunge la Afrika Mashariki EALA limejadili maboresho ya kanuni  ikiwemo miongozo na sheria za uendeshaji wake utakaosaidia kuongeza ufanisi wa shughuli zake katika utendaji kazi wa kila siku. Akiongea mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa kwanza wa kikao cha pili cha bunge la tano la EALA Jijini Arusha, Mbunge wa Bunge hilo kutoka nchini  Kenya kennedy Kalonzo Musyoka  amesema kuwa yapo yaliyojadiliwa ambayo mengine hawajakubaliana nayo. Kwa mujibu wa Musyoka amesema yale ambayo hawajakubaliana ikiwemo kuwepo kwa Naibu spika itapelekea kupiga kura ili kuweza kuyapitia au kutopitisha hivyo suala hilo litangojea uwepo huo. “Tumekuwa…

Read More

Na Richard Mrusha, Mahenge WACHIMBAJI wadogo wadogo wa kikundi cha KIWAMADOLU kinachojihusisha na uchimbaji wa madini ya Spinel kutoka mgodi wa Lukande uliopo katika Halmashauri ya ulanga mkoa wa Morogoro wameiomba Serikali kupitia Tume ya Madini kuwaongezea mda ili waweze kulipia leseni zao 11 ambazo mda wake umekwisha kwa kufanya hivyo wataweza kuchimba kisheria. Wakizungumza na waandishi wa habari mara baada ya yakutembelea katika mgodi huo Mwenyekiti wa umoja huo wa KIWAMADOLU Ibrahim Manyerere amesema kuwa pamoja na kuendelea na uchimbaji mdogo mdogo katika mgodi huo lakini bado wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo fedha zakuchukulia leseni zao ambazo tayari zina…

Read More

Na Geofrey Stephen , Kilimanjaro. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mhe Nurduni Babu amewataka watanzania kujitokeza Kwa wingi katika zoezi la upandaji mlima Kilimanjaro linaloenda sambamba na kusherehekea miaka 62 ya uhuru wa nchi ya Tanzania. Pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu pamoja na uongozi wa kampuni ya Zara tour Killmanjaro sambamba na wadau wengine wa kiserkali mara baada ya uzinduzi wa kampeni ya Twende Zetu Kileleni tarehe 5/12/23 Ameyasema wakati wa zoezi la  uzinduzi wa kampeni ya Twende Zetu Kileleni mlima Kilimanjaro iliyoandaliwa kampuni ya Zara Tours  ya mkoani Kilimanjaro. Alisema kuwa kampeni hiyo siyo ya…

Read More

Na. Anangisye Mwateba-Dodoma Serikali imesema nchi yetu inaendeshwa kwa kuheshimu utawala wa Sheria na kwamba mamlaka ya kutafsiri sheria yamekabidhiwa kikatiba kwa mhimili wa Mahakama; hivyo imeshauri wafugaji ambao wanaona hawakutendewa haki pale ambapo mifugo yao ilikamatwa kwa kuvunja sheria ya kuingia kwenye hifadhi za taifa au kwenye mapori ya akiba wakakate rufaa kwenye chombo cha kutafsiri sheria ambacho ni mahakama. Ushauri huo umetolewa na Naibu Waziri wa maliasili na Utalii Mhe. Dunstan Kitandula akijibu swali la Mhe. Emannuel Lekshon Shangai Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro ambaye alitaka kujua  Sheria inayoruhusu watumishi wa TANAPA, TAWA na NCAA kutoza faini ya…

Read More

Na Geofrey Stehen Arusha . Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutoka (Kenya) Peninah Malonza ameshukuru baada ya kula kiapo cha kutumikia Bunge la Afrika Mashariki EALA na kuahidi kuchapa Kazi kwa weledi na maarifa sanjari na kutoa ushirikiano kuipeleka mbele Jumuiya hiyo. Aidha amejibu hoja ya Mawaziri kuwa Watoro iliyotolewa kwa kusema mawaziri wengi wanayo majukumu mengi ndani ya serikali zao hivyo wanakazi zaidi ya Moja tena Kubwa hivyo tutashauriana na kupeana moyo wa kufika katika vikao maana tutaweza kusukima maendeleo. Ameyasema hayo mara baada ya kuapishwa katika Bunge la Afrika Mashariki EALA Jijini Arusha katika Mkutano 1 kikao…

Read More

“Ninatoa siku 7 watendaji wa vijiji kusanyeni hela mlizokubaliana kwa ajili ya kituo cha afya kwa kila kijiji” Kamati ya fedha na mipango Halmashauri ya wilaya ya Monduli imefanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa kituo cha Sepeko. “Hii hospitali haijengwi kwa faida ya mtoto wa kimai au mtoto wa Issack inajengwa kwa manufaa ya wananchi wa sepeko na nje ya sepeko, niwaelekeze watendaji wa vijiji natoa siku 7 wekeni mikakati ya kupata zile fedha mlizokubaliana kila kijiji kutoa million 10 mzilete hapa ujenzi uendeleee” issack “Wakati wa harambee nilisema halmashauri kupitia mapato yake ya ndani itatoa millioni 50…

Read More