Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24Tv . Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashata Dkt Hashil Abdallah amewasihi wamiliki wote wa sehemu za shughuli za Kiuchumi na Kijamii ikiwemo wamiliki wa viwanda wote nchini kutoa ushirikiano unaohitajika katika kufanikisha Utafiti wa shughuli za kiuchumi na kijamii wa mwaka 2023 Tanzania Bara na wasiwe na hofu ya utoaji wa taarifa kwa kuwa taarifa hizo ni kwa matumizi ya kitakwimu kwa manufaa mapana ya watanzania kwa ujumla. Ameyasema hayo Oktoba 29, 2023 akimwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji(Mb.) wakati wa kufungua mafunzo ya wasimamizi na wadadisi wa utafiti wa…

Read More

Na mwandishi wetu. Serikali iko mbioni kupitia na kurekebisha mitaala ya elimu kwa Vyuo Vikuu na vya Kati kwa ajili ya kutengeneza wataalam wa kutosha na wenye ushindani mkubwa kuhudumia Sekta ya Madini nchini. Hayo yalielezwa na Kamishna wa Tume ya Madini, Janet Ruben Lekashingo, Oktoba 30, 2023, jijini Dodoma, katika mahojiano maalum na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Madini Alisema katika kutafsiri Maono 2030, Madini ni Maisha na Utajiri, Wizara ya Madini imeamua kuongeza nguvu katika nyanja ya uboreshaji wa tija kwa watumishi pamoja na watoa huduma katika sekta ya madini. Kamishna Janet alisema katika kusimamia ushirikishwaji wa…

Read More

Na mwandishi wetu Kamishna wa Tume ya Madini, Profesa Abdulkarim Mruma amesema kuwa katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai hadi Septemba, 2023 ikiwa ni kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023-2024, Tume imeidhinisha maombi mapya ya leseni za madini 7596 ikiwa ni asilimia 100 ya maombi yaliyowasilishwa kama mkakati wa kuendelea kutoa fursa zaidi za uwekezaji katika Sekta ya Madini, wananchi kunufaika na Serikali kupata mapato yake. Profesa Mruma ameyasema hayo leo Oktoba 30, 2023 kwenye Kikao cha Tume jijini Dodoma chenye lengo la kupokea na kujadili taarifa za utendaji wa Tume kilichoshirikisha Mwenyekiti wa Tume ya…

Read More

Na  Geofrey Stephen . Asasi za kiraia(Azaki)zimeomba Serikali kuweza kuwatofautisha na asasi binafsi Kwa kuwa Mpaka sasa bado kuna mwingiliano mkubwa hasa kwenye masuala ya wafadhili.. Hayo yameelezwa na Rais wa taasisi ya foundation for civil society Dkt Stigmata Tenga wakati akifunga mkutano wa Azaki uliokuwa unafanyika jijini Aruha. Amesema kuwa lengo la asasi zisizo Za Kiserakali pamoja na Azaki zote zipo Tanzania lakini malengo ni tofauti Alifafanua kuwa Kwa kushindwa kutofautisha asasi hizo imepelekea baadhi ya wafadhili kupeleka fedha Kwa asasi hizo Huku Azaki kushindwa Kupata Haki zao “tunaomba tusaidiwe Kwa kuwa kuna agenda nyingi Ambazo tumeshindwa kuzikamata, na…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Ngoro ngoro Na John Mapepele Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki leo Oktoba 29,2023 amemwapisha Kamishna mpya wa Hifadhi ya Ngorongoro katika ofisi za makao makuu ya Hifadhi hiyo mkoani Arusha, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi Richard Kiiza kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais hivi karibuni. Akizungumza mara baada ya kumvisha cheo na kumwapisha, Waziri Kairuki amemshukuru Mhe. Rais kwa kufanya uteuzi huo ambapo amesema uteuzi huo ni sehemu ya kuimarisha timu ya utekelezaji wa majukumu ya Uhifadhi, utalii na maendeleo ya Jamii…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Serikali imevitaka vyuo vya elimu ya juu na kati nchini kuandaa vijana kuwa na ujuzi kwa ajili ya kushiriki katika soko la ajira la ndani ya nchi na kimataifa. Wito huo umetolewa Oktoba 28, 2023 Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wakati akizindua Ufadhili wa masomo kwa Wanafunzi wa Kike wanaosoma Programu za Uhandisi katika sekta ya usafirishaji na kuweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa majengo matano ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) yanayojengwa kupitia Mradi wa Kujenga Ujuzi na Ushirikiano wa Kikanda wa Afrika Mashariki…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv . Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amesema hatua ya kuanza kutolewa kwa mafunzo ya amali kwenye shule za sekondari nchini kutasaidia sana kuwa na Wahitimu wengi wenye ujuzi katika fani mbalimbali ambao watakuwa na uwezo wa kuhudumia miradi ya kimkakati Waziri Prof Mkenda amesema hayo jijini Dar es salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango wa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa kike wanaosoma programu za uhandisi katika sekta ya usafirishaji pamoja na kuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa majengo matano ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) yanayofadhiliwa na…

Read More

Na.Wizara ya Madini – Chunya. Madini yenye thamani ya shilingi za kitanzania zaidi ya milioni 961 yenye uzito wa kilogramu 6.93 yakamatwa wilaya ya Chunya , Mkoani Mbeya yakitoroshwa kwenda kuuzwa nje ya nchi. Hayo yamebainishwa leo Oktoba 28, 2023 na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Mbeya katika machimbo ya dhahabu wilayani Chunya. Mhe.Mavunde amesema dhahabu iliyokamatwa ina thamani zaidi ya shilingi za kitanzania milioni 961ambapo kama ingetoroshwa Serikali ingekosa mapato ya zaidi mioni 60 . Akizungumza na wafanyabiashara wa Madini katika soko la madini Mbeya Mhe.Mavunde amewataka wafanyabiara wote wa madini kutojihusisha…

Read More