Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen .Arusha  wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Arusha ,wafanyabiashara ,viongozi na wananchi, wamejitokeza kwa wingi makao makuu ya ccm Mkoa kusaini  kitabu cha Maombolezi cha aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha ZELOTHE STEVEN na kueleza kuwa alikuwa kiongozi shupavu, mnyenyekevu mwenye kujali utu wa watu. Miongoni mwa waombolezaji hao ni pamoja na Mkuu wa wilaya ya Arusha,Felician Mtahengerwa ambaye alisema kuwa mkoa wa Arusha umempoteza kiongozi mwenye sifa zote za uongozi na alijua kulea,Kuongoza  na kushauri . “Tumempoteza kiongozi katikati ya watu aliwahi kushika karibia vyeo vyote vya Polisi ,pengo lake ni kubwa sana…

Read More

Na Wizara ya Madini Dar Es Salaam Ikiwa ni Jitihada za Serikali kuendelea kuweka mazingira rafiki ya kiuwekezaji katika Sekta ya Madini nchini, Wizara ya Madini na Chemba ya Migodi zimekutana Oktoba 27, 2023, ikiwa ni mwendelezo wa utaratibu uliowekwa na Wizara kukutana na Wachimbaji Wakubwa, wa Kati na Watoa huduma migodini kila Robo ya Mwaka kupitia Chemba ya Migodi. Mkutano huo ni wa Pili kufanyika baada ya mkutano wa kwanza uliofanyika mapema mwezi Julai, 2023, yote ikilenga kuleta ukaribu kati ya serikali na wadau wa sekta ya madini pamoja na kujadili kwa pamoja changamoto ili kuondoa vikwazo mbalimbali vinavyozuia…

Read More

HISTORIA IMEANDIKWA Na mwandishi wetu Leo saa kumi Alfajiri mtambo wa kuchoronga umeanza kazi rasmi ya utafiti wa HELIUM katika bonde la Rukwa Inaaminika kwamba reserve ya HELIUM iliyopo Mkoani Rukwa ni ya tatu kwa uwingi Duniani nyuma ya Marekani na Qatar,utafiti huu utatupa picha halisi lakini pia utaiweka Tanzania kwenye ramani ya Dunia kama mzalishaji mkubwa wa HELIUM. Gesi ya HELIUM ndio hutumika kwenye vifaa vya ki-eletroniki kama Simu janja(smart phones),viyoyozi,computer, na pia inatumika kwenye kifaa muhimu cha matibabu cha Magnetic Resonance Imaging(MRI). Kazi nzuri ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji imetufikisha hapa…

Read More

Arusha kugarishwa na taa za bara barani kila kona. Na Mwandishi wa A24tv. Jiji la Arusha kufungwa taa za Barabarani ili kuongeza usalama wa wananchi na mali zao katika maeneo yao. Hayo yamebainishwa na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranqhe ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya fedha ya Halmashauri ya Jiji la Arusha ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Mstahiki Meya amesema kutokana na Jiji la Arusha kuwa la kitalii ni muhimu taa za Barabarani  kuwepo ili watalii wawekatika mazingira salama zaidi. Amesema kufungwa kwa taa hizo kutaongeza usalama kwa watumiaji barabara hizo. Mradi huo…

Read More

Na Geofrey Stephem Arusha Wiki ya Azaki Jijini Arusha Mchungaji wa Kanisa la KKKT Richard Hananja amevunja ukimya juu ya matukio  makubwa ya ukatili juu ya wanawake na watoto jambo ambalo limeleta sinto Fahamu kwa wana ndoa kupelekea kufanyanyiana mauwaji ukatili na kupoteza maisha huku familia zao zikibaki na malezi ya upande moja au kukosa kabisa malezi Akizungumza na wadau wa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Mchungaji Hananja amesema matukio ya wanawake kupoteza maisha kisa mapenzi , ndoa kuvunjika kwa sasa yanaonekana ni fashen jambo ambalo  limeonekana jamii kukosa mahadili pia kujiweka mbali na Mungu. Mpaka…

Read More

Na mwandishi wetu Waziri wa Madini nchini Malawi Mhe. Monica Chang’anamuno amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi na mikakati mbalimbali anayofanya katika kuendeleza Sekta ya Madini nchini. Mhe. Chang’anamuno alitoa pongezi hizo Oktoba 25, 2023 katika hafla ya Usiku wa Madini uliyoambatana na utoaji Tuzo kwa wadau mbalimbali wa Sekta ya Madini waliofanya vizuri ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini mchango wako kwenye maendeleo na ukuaji wa sekta. Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe.Chang’anamuno alisema kuwa mazingira halisi yanaonesha kuwa Rais Dkt. Samia anaendelea kufanya juhudi nyingi sana katika kuendeleza Sekta…

Read More