Author: Geofrey Stephen

Na Mosses Mashala . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema China imekuwa ikiisaidia Zanzibar katika mambo mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya hospitali. Rais Dk. Mwinyi Amesifu ukarabati mkubwa wa Hospitali ya Abdalla Mzee Pemba, utoaji wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wa sekta ya afya, msaada wa vifaa vya matibabu na dawa, pamoja na udhamini wa masomo kwa madaktari wazalendo Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 26 Agosti 2024, Ikulu Zanzibar, alipozungumza na timu ya madaktari 29 kutoka kundi la 33, walioongozwa na Kaimu Balozi Mdogo wa China Zanzibar,…

Read More

CHAMA Cha wafanyakazi wa Serikali,na afya (TUGHE) kimewaomba waajiri Nchini kuwapa haki wafanyakazi ya kujiunga na Vyama vya wafanyakazi wanavyovitaka badala ya wao kuwachagulia Vyama hivyo. Hayo yameelezwa Augosti 26 na Katibu mkuu wa Tughe ,Hery Mkunda,alipokuwa akifungua semina ya siku nne ya kuwajengea uelewa Viongozi wa matawi na waajiri kwenye Ukumbi wa Lushgadern na kusisitiza kwamba waajiri wasiwachagulie wafanyakazi Vyama vya kujiunga kwa kuwa kila mfanyakazi ana uhuru wa kujiunga na Chama akitakacho. Amesema kila mfanyakazi ana haki ya kuchagua Chama cha kujiunga kulingana na Sekta anayotoka hivyo kumchagulia mfanyakazi Chama ni kwenda kinyume na utaratibu na sheria. Amesema…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na Asasi ya Tanzania Health and Social Services(THSS) tarehe 25.08.2024 imetoa elimu juu ya madhara ya dawa za kulevya katika bonanza la August Cup iliyofanyika katika uwanja wa Ilboru Arusha (M). Aidha, elimu hiyo ilitolewa kwa wanamichezo zaidi ya 60 ikiwa na lengo la kuwapa elimu juu ya madhara yatokanayo na matumizi pamoja na biashara haramu ya dawa za kulevya. Elimu hii itawasaidia wanamichezo hao ambao wengi wao ni vijana kutojihusisha na dawa za kulevya sababu zinaweza kuwakosesha utimamu mchezoni…

Read More

Na Bahati Siha . Wazazi na walezi wa shule ya Sekondari Naisinyar kata ya Orkolili Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,wamemtaka Mwenyekiti wa kamati ya chakula wa shule hiyo Daniel Nnko kutekeleza azimio la mkutano wa wazazi likimtaka kujiudhulu mara moja Hii ni kutokana kutumia madaraka vibaya ikiwa ni pamoja nakutokusoma mapato na matumizi ndani takribani miaka 9 kitu ambacho kinachangia kurudisha maendeleao nyuma ya shule hiyo,nakumuomba mkuu wa wilaya Christopher Timbuka kufika shuleni hao. Wananchi hao wakizungumza na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti,wamemtaka Mwenyekiti huyo kutekeleza azimio hilo kabla hatua nyingine za kinizamu hazijachukuliwa dhidi yake “Ni kweli kwenye kikao…

Read More

Dubai -Aug 26 Emirates is currently operating one of the busiest time periods for its Unaccompanied Minors Service, as many children return to Dubai from summers spent abroad to start the new school year. In the coming week alone, Emirates will welcome more than 900 children, who are flying alone using the acclaimed family-friendly service. Over the past five years, more than 120,000 children have availed of Emirates’ Unaccompanied Minors and Young Passenger services. The majority of children who have travelled alone in Emirates care are aged 11 years or younger. The families who currently use the service the most…

Read More

NaMwandishi wa A24tv. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi cheti cha pongezi kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA kutokana na ushiriki wake wa kipekee katika Tamasha la Tisa la Kizimkazi lililofanyika Kusini Unguja, Zanzibar kuazia tarehe 18-25 Agosti, 2024. Cheti hicho cha pongezi kilipokelewa na Afisa Utalii Mustapha Buyogera katika hafla ya chakula cha usiku iliyofanyika Ikulu ndogo, Kizimkazi, Zanzibar. Katika tamasha hilo, Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia TAWA limekuwa kivutio kikubwa kwa wananchi wengi na wadau mbalimbali wa utalii ambapo wageni walipata fursa ya kushuhudia wanyamapori…

Read More

Arusha. Serikali imeipongeza Benki ya NMB kwa kuwa moja ya taasisi kubwa ya binafsi inayochangia kwa kiasi kikubwa ukuaji wa uchumi nchini. Hayo yamesemwa na Afisa Biashara wa Mkoa wa Arusha, Njivaine Mollel kwenye kongamano la Wafanyabiashara ambao ni wateja wa benki ya Nmb lililofanyika jijini Arusha leo Agost 23, 2024. Afisa biashara Mkoa wa Arusha, Njivaine Mollel akizungumza kwenye kongamano la wafanyabiashara jijini Arusha lililoandaliwa na benki ya NMB Amesema kuwa kwa sasa Tanzania imekuwa ikipiga hatua kubwa kwenye maswala ya kiuchumi ambapo imefanikiwa kutokana na mchango mkubwa wa sekta binafsi hasa taasisi za kifedha. Mollel ameyasema hayo siku…

Read More

Na Geofrey Stephen . MKURUGENZI mtendaji wa Halmashauri ya Jiji la Tanga Mhandisi Jumaa Hamsini ametoa wiki mbili kwa Afisa biashara wa halmashauri hiyo kuhakikisha kuwa anaongeza leseni za wafanyabiashara kutoka elfu nne zilizopo sasa na kufikia elfu kumi (10,000) ikiwa ni mpango mkakati wa kuongeza ukusanyaji wa mapato. Mhandisi Hamsini ametoa magizo hayo leo Agosti 23,2024 wakati akizungumza na wakuu wa idara wa halmashauri hiyo katika kikao cha mipango kazi cha kwanza tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufuatia mabadiliko aliyoyafanya hivi karibuni ambapo Mhandisi Hamsi amehamishiwa Jiji la Tanga…

Read More