Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24Tv . Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amesema Afisa yeyote wa Serikali atakayekwamisha ufanyaji biashara, uwekezaji au uanzishwaji viwanda nchini ni adui namba moja wa Serikali na atachukuliwa hatua za kisheria. Vilevile, Ametoa wito kwa watendaji hao kuwezesha uwekezaji, ufanyaji biashara, uanzishaji viwanda na kuhakikisha kila mwekezaji anapata anachostahili kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopo. Dkt. Abdallah ameyasema hayo Septemba 25, 2023, wakati akiongoza Kamati Maalum ya Katibu Mkuu Kiongozi inayojumuisha Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Fedha, Mipango na Uwekezaji, Kilimo na Katibu Tawala Mkoa wa Kagera walipotembelea…

Read More

• *Waziri Mavunde Aainisha Programu ya MBT* • *Itashirikisha vijana kwa asilimia 100* • *Asilimia 70 ya fedha za migodi ni manunuzi* Serikali kupitia Wizara ya Madini imeanisha Programu ya _Mining for Better Tommorrow (_ MBT) itakayo wawezesha vijana kushirikishwa katika sekta ya Madini kwa kujengewa uwezo na kupatiwa mitaji , vifaa na mashine ili wachimbe madini kwa uhakika bila kupoteza mitaji. Hayo yamebainishwa leo Septemba 28,2023 na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde katika kongamano la Mpango wa Ushirikishwaji Wananchi kwenye Sekta ya Madini (local content) lililofanyika Viwanja vya EPZ Mkoani Geita. Akielezea kuhusu programu ya MBT , Mhe.…

Read More

Na Richard Mrusha Geita WAZIRI WA Madini Antony Mavunde amesema Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan iko katika mazungumzo baina ya wizara ya Madini na Tanzania Banker’s Association, taasisi zote za fedha (MABENKI), STAMICO na wadau wa sekta Madini kujadiliana ili kuona ni changamoto gani zinazosababisha mchimbaji wadogo wa Madini wasiwe na vigezo vya kuweza kupewa mkopoo. Hayo ameyesema Leo Alhamis September 28,2023 katika kongamano la kujadiliana fursa zilipo Geita pamoja na “Local Contect” kwenye Maonesho ya sita sita ya kimataifa ya teknolojia ya Madini yanayofanyika kwenye viwanja vya EPZA bombambili halmashauri ya mji…

Read More

Na Richard Mrusha Geita WAZIRI wa Madini Antony Mavunde amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais DKT. Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia sheria ya Local contect ili kuhakikisha watanzania wananufaika na rasilimali zao ikiwemo madini ya dhahabu . Mavunde ameyasema hayo alipotembelea mmoja wa wawekezaji wa wazawa mkoani Geita Athanas Inyasi anaemiliki kampuni ya blue coast ili kujionea namna alivyonufaika na sheria ya Local contect ambapo amewasisitiza wafanyabiashara ,wachimbaji kujitokeza kuomba zabuni . “Kwa hiyo nitoe rai kwa makampuni mengine yakitanzania kuchangamkia fursa hii sisi kama serikali tutahakikisha tunaisimamia sheria hii vizuri ili watanzania wengi zaidi waweze kunufaika…

Read More

Na Richard Mrusha Geita ZAIDI ya Shilingi za kitanzani Bilioni 5 zimewekezwa katika Maabara ya MSALABS inayopima sampuli za Madini kwa kiwango cha kimataifa mkoani Geita. Hayo yamebainishwa Septemba 27, 2023 na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Maabara ya MSALABS Mugisha Lwekoramu wakati wa ufunguzi wa Maabara hiyo iliyoanzishwa mwaka 2020 ikiwa ni kampuni tanzu ya MSALABS yenye makao makuu yake nchini Canada. Akizungumzia kuhusu teknolojia inayotumika katika Maabara hiyo Lweramu amesema Maabara hii inatumia teknolojia ya kisasa ya upimaji wa sampuli kwa mionzi yaani (PhotoAssay) ambayo ni rafiki kwa utunzaji mazingira kwasababu haitumii kemikali au moto katika upimaji sampuli.8…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Mkoa wa Geita umetajwa kuwa kinara wa uzalishaji wa Madini ya dhahabu yanayochimbwa maeneo mbalimbali katika mikoa ya kimadini ambayo Madini mkoa wa Geita na Madini Mbogwe ikilinganishwa na mikoa mingine. Hayo yamesemwa Septemba 26, 2023 na Kaimu Mkuu wa Geita Grace Kingalame ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale wakati akihairisha semina kuhusu fursa za kijamii na kiuchumi zinazopatikana mkoani Geita. Akizungumza kuhusu shughuli za Madini zinazofanyika katika Mkoa wa Geita , Kingalame alisema shughuli za Madini zimegawanyika katika makundi manne ambayo ni Utafiti wa Madini, Uchimbaji, Uchenjuaji na uuzaji yaani biashara za…

Read More

Na Richard Mrusha Geita AFISA masoko na usambazaji kutoka Bodi ya Nafaka na Mazao mchanganyiko (PCB) Francisco Amos amesema kuwa bodi imejipanga kumuondolea mkulima changamoto ya soko ya mazao yao iliyokuwa inamkabili mkulima huko nyuma Akizungumza na waandishi wa habari katika maonyesho ya sita ya teknolojia ya madini yanayofanyika katika viwanja vya EPZA Bobambili mkoani Geita,Amos amesema kuwa Serikali ilianzisha bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko ili iwe jukwaa la wakulima kuuza mazao yao pindi wanapopata changamoto katika masoko au mavuno yao. “Naweza kusema kwamba tumeshiriki maonyeaho haya tukiwa na lengo la kuonyesha bidhaa bora zinazozalishwa na bodi hiyo kupitia…

Read More

Na Richard Mrusha Geita WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) katika mwaka wake wa fedha 2023/2024 inatajia kujenga jengo la ghorofa la biashara na makazi katika Mkoa wa Geita. Akijibu swali la Mbunge wa jimbo la Geita mjini Constantine Kanyasu alipotembelea katika banda hilo katika maonesho ya sita ya tekinolojia ya madini yanayaofanyika katika viwanja vya EPZA bombambili halmashauri ya mji geita ambapo mbunge huyo alitaka kujua endaopo nje ya miradi ya Serikali wakala hao kama wana mpango wowote wakuwekeza miradi kama hiyo Mjini Geita. Akijibu swali hilo Kaimu Meneja Mawasiliano na Masoko – TBA ,Fredrick Kalinga amesema tayari eneo limepatikana…

Read More