Author: Geofrey Stephen

Na Richard Mrusha Geita Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ( Zanzibar ) Fatma Hamad Rajab amesema ataendelea kushirikiana bega Kwa bega na Mifuko ili kuhakikisha wanaitangaza NSSF maeneo yote kama ambavyo waliweza kufanya kisiwani Pemba nahatimaye kupata wateja wengi. Akizungumza Jana wakati akitembelea banda la Mfuko wa hifadhi ya jamii ( NSSF ) kwenye Maneesho ya sita ya Kimataifa ya Teknolojia ya Madini Geita Mwaka huu 2023 iliyoambatana na kaulinmbiu isemayo ” Matumizi ya Teknolojia sahihi katika kuinua wachimbaji wadogo kiuchumi na kuhifadhi Mazingira” Fatma amesema ataendelea kushirikiana bega kwa bega na Mfuko wa NSSF…

Read More

Na Richard Mrusha Geita MKURUGENZI wa Kampuni ya Ruth Bertha Supply Ruthberth Myonga amesema kuwa ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi Kuna umuhimu wa kuhakikisha kila Mtanzania anashiriki kikamilifu upandaji miti ikiwa pamoja na kuunga mkono juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau wa Mazingira. Hayo yamesemwa leo Septemba 22 Mwaka huu Mkoani Geita na Mkurugenzi wa Ruthberth ,Ruthberth Myonga kwenye Maonyesho ya sita ya kitaifa ya Teknolojia Madini yanayofanyika katika Viwanja vya Bombambili .ambapo pia amewahamasisha wanawake kote nchini kupanda miti mbalimbali ya matunda na kivuli Kwa lengo la kudhibiti mabadiliko ya tabia ya nchi. Amesema kuwa mbali na…

Read More

HABARI PICHA MTAALAMU KUTOKA TUME YA MADINI, JOHN MAGANGA AKIWASILISHA JAMBO KWENYE KIKAO KAZI CHA WATOA HUDUMA LESENI BURELA KIKAO KAZI HICHO KIMEFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA EPZ BOMBILI HALMASHAURI YA MJI WA GEITA LEO SEPTEMBA 22,2023 MKOANI GEITA Na Richard Mrusha Geita Kikao kazi chicho kimejiri wakati maonesho ya sita ya kitaifa ya teknolojia ya madini yakiwa yamenza septemba 20,2023 ambayo yanatarajiwa kufunguliwa septemba 23,2023 ambapo mgeni rasmi atakuwa Naibu waziri Mkuu DKT. Doto Biteko Maganga ameshiriki katika kikao kazi cha wataoa huduma leseni zinahusiana na uchimbaji madini na uwezeshaji mitaji. Aidha kikao kazi hicho kimefunguliwa na mgeni rasmi ambaye…

Read More

Na Geofrey Stephen. Baraza la Taifa la Hifadhi za Usimamizi wa Mazingira NEMC limetishia kukifunga kiwanda cha kuzalisha virutubisho vya mifugo cha CHANZI kilichopo Njiro jijini Arusha, kutokana na harufu mbaya na kali kwa wananchi wanao ishi katika eneo la njiro viwandani jambo ambalo linasababisha   athari za kimazingira na afya kwa jamii. Inayozunguka kayika maeneo ayo . Baraza hilo limetoa siku saba kwa mmiliki wa kiwanda hicho kudhibiti harufu hiyo na baada ya muda huo kumalizika bila utekelezaji, NEMC itachukua hatua kali ikiwemo kukipiga faini ama kukifunga kufanya uzalishaji . Akiongea na vyombo vya habari mara baada ya kufanya ukaguzi…

Read More

Na Richard Mrusha Geita NAIBU Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati DKT.Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa maonesho ya Sita ya teknolojia ya Madini mkoani Geita yatakayofunguliwa Septemba 23 mwaka huu katika Halmashauri ya Mji wa Geita huku Rais DKT.Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kufunga maonyesho hayo. Akizungumza na waandisi wa habari katika viwanja vya EPZA vilivyopo katika Kata ya Bombambili Halmashauri ya Mji wa Geita, Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin Shigela amesema,maonyesho ya mwaka huu yamekuwa na mwitikio mkubwa kutokana na washiriki wengi Zaidi kujitokeza kuonyesha shughuli wanazozifanya. “ Maonesho haya yalianza 2018 na…

Read More

Na Geofrey StephenMonduli  .Arusha Mbunge wa jimbo la Monduli Fredick Lowasa amiwa na mkurugenzi wa mamlaka ya maji auwsa na mwenyemiti wa halmashauri ya Monduli wa kiteta jambo  Akizungumza mara baada ya pampu hiyo kuwasili nchini na kufungwa  Mbunge wa jimbo la Monduli Fredick Lowasa amesema kuwa ameshukuru  serikali  ya awamu ya sita ya Mh Rais Samia Sulubu Assan Kwa kutatua tatizo hilo kwani lilikuwa  ni kero Kwa wananchi kufuatia wananchi kuhangaika kutafuta Maji  umbali mku wa ususani wanawake walilazimika kutafuta maji Kwa  punda  hata maeneo ya mjini jambo ambalo lilikuwa ni changamoto sana kwao  Mbunge amesema  takribani kata 3…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Uongozi wa Club ya Aces ya jijini Arusha ambao ni waekezaji wa kitanzania wameadhimisha mwaka moja wa club hiyo kwa kurejesha faida kidogo kwa jamii  kwa kufanya usafi wa mazingira pamoja na kugawa mapipa.ya kisasa ya kuifadhia takataka . Akiongea katika maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Felician Mtahengerwa amesema amefuraishwa kuona vijana wa kitanzania kufanya jambo kubwa kama hilo la kurejesha faida kwa jamii inayo izunguka kunufaika na uwekezaji mkubwa wa club hiyo ambapo ameomba uongozi huo kujikita pia katika kuchangia maendeleo ya sekta ya elimu Afya na miundo mbinu ya bara bara. Felician…

Read More