Author: Geofrey Stephen

Na. Anangisye Mwateba-Lindi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) kwa uwekezaji iliyoufanya kwenye mji wa Kale wa Kilwa Kisiwani Mhe. Rais amesema hayo akiwa wilayani Kilwa kwenye ziara ya kukagua, kuweka mawe ya msingi na na kuzindua miradi ya maendeleo mkoani Lindi. Mhe. Rais aliongeza kuwa mji wa Kilwa Kisiwani ulikuwa mji wa kibiashara enzi za kale hivyo Serikali ina nia ya kuurudisha mji wa Kilwa kuwa mji wa Kibiashara Kama ulivyokuwa zamani kwa kuweka fedha nyingi katika kutengeneza miuondo mbinu Kama bandari ya uvuvi na utengenezaji…

Read More

Na Tumaini Mafie, Arusha Afisa Elimu taaluma Jiji la Arusha Henry Mwakamisa asifu Shule binafsi jijini hapo na kusema zinaleta tija katika Elimu Kwa kuongoza ufaulu Kwa asilimia kubwa jijini hapo. Aliyasema hayo katika Sherehe ya mahafali iliyofanyika shule ya msingi Tuishime mkoani Arusha ambapo alisema Shule binafsi zinachangia Kwa kiasi kikubwa ufaulu na kuliweka Jiji la Arusha katika nafasi ya kwanza Kwa miaka mitano mfululizo kati ya halmashauri ya 180 zilizoko nchini Tanzania. ” Tuna zaidi ya Shule 170 Jiji la Arusha na kati ya hizi 140 ni shule binafsi na hizi tukizungumzia ufaulu wa Shule zinachangia kwa asilimia…

Read More

Bar Maarufu jijini Arusha ya Arusha Live September 16 imeadhimisha Mwaka moja toka kuanza Shughuli zake huku wateja wakionekana kufuraiya kupata fursa ya kushiriki sherehe izo kwa furaha kubwa sana na wamiliki wa Arusha live Arusha live Miongoni mwa bar zinazo vutia katika huduma zake na wahudumu wenye mvuto mkubwa kwa wateja wake. Tazama picha katika matukio mbali mbali. Mwisho .

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji(Mb.) amewasihi Watanzania kuuza ziada ya chalula na kubakisha chakula chakutosha hadi msimu ujao ili kutokununua chakula hicho kwa bei kubwa zaidi wakati ujao Vilevile, amewashauri Wafanyabiashara wa nafaka kununua nafaka kwa wingi zinapopatikana na kuzisambaza kwenye maeneo zinapohitajika ili kuwasaidia wananchi kununua chakula mapema kwa bei nafuu ukilinganisha na miezi ijayo ya msimu wa kilimo. Waziri Kijaji ameyasema hayo akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Lugano Wilson na Katibu Tawala wa Mkoa huo Kamishna Dkt. Mussa…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha CHUO cha Uhasibu Arusha (I.A.A),kimeeleza  mafanikio makubwa ya elimu yaliyotokana na  ongezeko la mitaala na kufanya pato la ndani kufikia sh,bilioni 26 sawa na ongezeko la sh,bilioni 15 kutoka mwaka wa fedha wa  2021/22. Mkuu wa chuo hicho Profesa Eliamani Sedoyeka,amebainisha  hayo  wakati alipokuwa akizindua  ripoti ya Chuo hicho na kuyataja mafanikio hayo kuwa ni pamoja na kujengwa Kituo kikubwa cha kisasa cha Habari na mawasiliano kwa nchi za afrika (ICT)ambacho kitaanza kufanyakazi mwakani . Alisema mafanikio hayo yametokana na ongezeko la wanafunzi kukua na kufikia 13,000 na lengo ni kufikisha wanachuo wapatao 16,000. Mafanikio mengine…

Read More