Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wetu Tanga Waziri wa Madini, Mh.Anthony Mavunde* amebainisha kuwa kusuasua kuanza kwa mradi wa uchimbaji dhahabu wa Magambazi uliopo Kijiji cha Nyasa Wilayani Handeni kunapelekea kuikosesha Serikali mapato na kuchelewesha maendeleo kwa wananchi wanaozunguka eneo la mradi huo. Ameyasema hayo leo tarehe 23 Agosti, 2024 Jijini Tanga alipokutana wawakilishi wa wananchi wa Handeni na *Kampuni za CANACO Tanzania Ltd. na PPM Mining* ambazo zinahusika na utekelezaji wa mradi huo. “Kwa mujibu wa taarifa za utafiti wa madini uliofanyika katika eneo la mradi huu, zinaonesha kuna zaidi ya wakia za dhahabu 700,000 na kwa hivi sasa mnasema mnazalisha dhahabu…

Read More

Na Joseph Ngilisho ARUSHA Viongozi wa dini ya Kiislamu Mkoa wa Arusha,wameamua kuunga mkono  jitihada za serikali katika kuhamasisha utalii wa ndani kwa kutembelea vivutio mbalimbali ikiwa ni hatua moja wapo ya kuvitangaza vivutio vya  utalii nchini. Msemaji wa taasisi ya dini ya kiislamu ya Twarika  Sheikh Haruna Husein alimpongeza rais Samia Suluhu kwa kuwa mzalendo wa kwanza akiwa madarakani kucheza filamu ya Royal Tour yenye lengo la kutangaza vivutio na kuhamasisha utalii . Alisema baada ya filamu hiyo ya Royal Tour, watalii kutoka mataifa mbalimbali walihamasika na kumiminika nchini kujionea vivutio hivyo na wao kama viongozi wa dini wameonelea…

Read More

Kamwe siwezi kutoa mwili wangu ili nipewe kazi! Ni wanawake wengi sana duniani wametoa rushwa ya ngono ili waweza kupewa kazi, kupandishwa cheo na kuongezewa mshahara, licha jambo hilo kupigwa vita kuwa ni kuvunja utu wa binadamu, ila bado mtindo huo upo. Jina langu ni Mami, nilimaliza Chuo Kikuu mwaka 2019, nilikuwa na matarajio ya kupata kazi siku chache baada ya kumaliza masomo lakini haikuwa hivyo, nilijikuta nikimaliza miaka miwili bila kupata kazi yoyote ile. Siwezi kusahau kisa kimoja, ni pale Bosi mmoja aliponiambia kuwa nafasi ya kazi ipo tena yenye mshahara mzuri sana ila kama nataka kazi hiyo basi…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt.Selemani Jafo (Mb.) ameiagiza Mikoa yote Tanzania Bara kuanzisha viwanda ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Programu ya Viwanda (2025- 2026) kwa lengo la kutengeneza ajira na kukuza uchumi kwa ujumla. Dkt Jafo ameyasema hayo katika Mkutano na Waandishi wa Habari wakati akiitambulisha Programu hiyo inayoongozwa na Kauli mbiu isemayo “Viwanda vyetu, Ajira zetu Uchumi wetu” uliofanyika Agosti 15, 2024 jijini Dodoma. Akielezea utekelezaji wa Programu hiyo, Dkt Jafo amebainisha kuwa kila Mkoa unapaswa kuanzisha Viwanda vikubwa 3, Viwanda vya kati 5, Viwanda vidogo 20 na Viwanda vidogo sana 30…

Read More

Na Bahati Siha, Mkazi wa Kijiji cha Merali Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro Kanti Mbuya (45),Mkulima amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha Miaka 30 jela kwa kosa na kulawiti mtoto kaka yake mwenye umri wa miaka (19 ) Mwendesha mashitaka wa Serikali David Chisimba mbele ya Hakimu Mkazi mfawidhi mwandamizi wa Mahakama hiyo Jasmine Abdul, amesema kwamba tukio hilo limetokea March 10 mwaka huu,na kijana huyo alikuwa akiishi kwa bibi yake Mwendesha mashitaka huyo ameeleza kuwa mshitakiwa siku ya tukio alimfuta kijana huyo kwa bibi yake na kumchukua lengo la kumpa shughuli flani Baada ya kufika nyumbani mshitakiwa alimuita chumbani na…

Read More

Wateja ni wengi katika biashara yangu hadi nakosa muda wa kula! Kila mfanyabiashara kiu yake ni kupata wateja wengi na kuweza kutengeneza faida kubwa katika biashara yake, sidhani kama mtu anafanya biashara akitegemea atapata hasara au kupoteza muda wake. Hata hivyo, ukweli ni kwamba katika biashara hutokea mambo mengi ambayo ni tofauti kabisa na vile ambavyo mtoa huduma angetarajia, ndio sababu utaona kuna watu hufikia hatua ya kufunga biashara zao na kwenda kufanya shughuli nyingine. Mimi pia niliwahi kufikia hatua hiyo, biashara yangu ya kuuza nguo na viatu katika jiji la Dar es Salaam ilianza kwa kusuasua sana, wateja walikuwa…

Read More